Gogadi
Senior Member
- Nov 15, 2012
- 121
- 16
Wahusika au mwana JF yeyote mwenye taarifa na kazi za mahakama walizotoa tarehe mwezi wa tatu mwaka huu.
1. Je lini watatoa majina ya waliochaguliwa kwenye interview kwa nafasi zote walizozitangaza?
2. Na interview yenyewe itakuwa lini?
Ni hayo tu waungwana mwenye kujua tafadhari atuhabalishe hapa.
Naomba kuwasilisha.
1. Je lini watatoa majina ya waliochaguliwa kwenye interview kwa nafasi zote walizozitangaza?
2. Na interview yenyewe itakuwa lini?
Ni hayo tu waungwana mwenye kujua tafadhari atuhabalishe hapa.
Naomba kuwasilisha.