Kampuni ya ABS inatangaza nafasi za kazi za kusambaza vyombo Dar, mshahara ni laki mbili kwa mwezi na posho ya siku ni elfu sita. MAWASILIANO 0718751075
mkuu niko hapa kijana wa kazi, ninauzoefu wa kutosha kuhusu hizo biashara
ni mcheshi ..kiufupi nazijua mbinu zote za kumshawishi mnunuzi
sijui uko wapi bosi wangu, we niambie tu siku yoyote nianze kazi niko tayari
plz mawasiliano muhim bosio wangu!
Ahsante
hahahhahah a hahahha hahaha wana jf bana..hvy vyomb vina thamani gani hadi kila siku upepewe elfu 6 ambayo ni kama laki 3 kwa mwezi kama weekend huendi kusambaza, na kale ka laki mbili zinakua tano hizo..hv ni vyombo vipya isdhani kama ni mabeseni haya haya ya buku buku ya mtaani na chupa za chai za elfu 8 8...mtoa mada naona ameamua kuja kutupa raha ya jumanne ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.