mkuu niko hapa kijana wa kazi, ninauzoefu wa kutosha kuhusu hizo biashara
ni mcheshi ..kiufupi nazijua mbinu zote za kumshawishi mnunuzi
sijui uko wapi bosi wangu, we niambie tu siku yoyote nianze kazi niko tayari
plz mawasiliano muhim bosio wangu!
Ahsante