neema pita
Member
- Apr 26, 2012
- 30
- 6
kampuni ya hotland expedions iliyoko mjini Arusha inatangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo
SECRETARY nafasi 5
SIFA ZA MWOMBAJI
awe na elimu kuanzia form four na kuendelea
awe amemaliza masomo ya usecretary
awe anauzoefu na anaspeed katika uchapaji
UDEREVA 10
SIFA ZA MWOMBAJI
awe na elimu kuanzia form four na kuendelea
awe na uzoefu wa kuendesha magari ya tours
mwisho wa kutuma maombi tarehe 15 june 2012
maombi yote yatumwe kwa email expeditionshotland@yahoo.com
SECRETARY nafasi 5
SIFA ZA MWOMBAJI
awe na elimu kuanzia form four na kuendelea
awe amemaliza masomo ya usecretary
awe anauzoefu na anaspeed katika uchapaji
UDEREVA 10
SIFA ZA MWOMBAJI
awe na elimu kuanzia form four na kuendelea
awe na uzoefu wa kuendesha magari ya tours
mwisho wa kutuma maombi tarehe 15 june 2012
maombi yote yatumwe kwa email expeditionshotland@yahoo.com