Bongoclever
Senior Member
- Jul 30, 2012
- 105
- 11
Habari wana Jf?
Naomba msaada kwa hili,
Nafasi za JKT zinatoka tena mwezi gani?
Msaada kwa anaefahamu.
Naomba msaada kwa hili,
Nafasi za JKT zinatoka tena mwezi gani?
Msaada kwa anaefahamu.
Nenda makao makuu ya Jkt makao makuu ukaulize.
nafasi za jkt zishatoka mwezi wa kwanza mpaka wa pil watuwakaondoka na sasa wapo mafunzoni subilia mwakani ndiyo zitatoka tena.
Alichozungumza huyu ndugu ndio ukweli mtupu, vijana walishaondoka tangia mwezi wa 3 mwanzoni kama sijakosea hivyo kwa mwaka huu umeshachelewa
Alichozungumza huyu ndugu ndio ukweli mtupu, vijana walishaondoka tangia mwezi wa 3 mwanzoni kama sijakosea hivyo kwa mwaka huu umeshachelewa
Makao makuu mbali.' nenda kwenye ofisi za wilaya uliyopo. Ofisi za mgambo ndo kunahusuka na jkt.
Utapewa majibu bila tatizo. Ila kama ni dar nafasi ni mwez wa saba au sita mwishoni.