Nafasi za jkt

Nafasi za jkt

sasa yawezekana JKT uingie na usiingie JWTZ? au inakuwa ni option? naomba ufafanuzi mkuu
 
Kafman siku hizi ni lazima
upitie kwanza JKT

Aaah kumbe BantuGirl! Kwa hiyo huyo ndug yang itabid atumie vyeti vya O-level,Adv. Au Bachelor maanake yeye amemaliza Chuo kikuu hivi karibuni maanake huwa wanasema kuwa huwa kunakuteswa sana kama wakijua wewe una elimu ya juu kuliko walimu wako, naomba jibu tafadhali . Asante!
 
jamani hizo za mwezi wa sita mwanzoni na sisi 2naomaliza masomo mwezi wa sita mwishon watatuchukua au ndo hadi mwakani?
 
jaman nami nazitamani sana hzo nafac kwan naelekea kuhitim shahada ya kwanza na bado cjajua wap ntaelekea..... tuambizane zikitoka wadau.
 
jaman nami nazitamani sana hzo nafac kwan naelekea kuhitim shahada ya kwanza na bado cjajua wap ntaelekea..... tuambizane zikitoka wadau.

Ukimaliza komaa tu na hiyo fani yako au kama utaweza kuvumilia,nina mdogo wang unaelekea mwaka wa pili sasa anasubiria hizo nafasi za jeshi anahangaika na vibarua tu! Lakini usikate tamaa kila mtu na bahati yake.
 
Back
Top Bottom