mbisom ramos
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 812
- 396
wakuu kwa anayefahamu hvi kuna intake yeyote ya jeshi eidha Jkt au JWTZ ndani ya mwezi huu?!
Mimi nahitaji na shahada 2 za uchumi watani chukua kweli
mkuu kuna mtu yupo jikon kanitonya nafas za proff zmetoka ktambo ila ni kmyakmya haitangazw hyo ndugu wew kam una mtu wa kukushka mkono chonga nae, ila jkt uhakika mwez wa 12
haya mapishi mengi yatatuharibia mchele wetu!Mkuu,niko na mtu mkubwa 2 jikoni huko,kadai nafasi za proffesional ilikuwa zitoke mwez uliopita ila zimechelewa na wanaweza kutoa mapema mwezi huu!
Mimi nahitaji na shahada 2 za uchumi watani chukua kweli
Samahan mkuu kwa mwenye degree kigezo cha umri, mwsho wa kuomba miaka mingap?plz nsaidieHongera kwa usomi wako ,kwa masters yako ya uchumi ukibahatika kuingia jeshin ,utaenda kusoma TMA yaani tanzania military academy ,utapata nyota moja yaani luteni usu ,baada ya miezi sita utapewa nyota ya pili yaani luteni ,then nyota ya tatu yani captain,, kama una masters ya uhandisi na fani za sayansi utapata cheo cha meja ,
Samahan mkuu kwa mwenye degree kigezo cha umri, mwsho wa kuomba miaka mingap?plz nsaidie
haya mapishi mengi yatatuharibia mchele wetu!
Aliyetari aliwe ili badae nae ale,aniPM nmpe mchongo.