donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Ukiwa na taaluma ya udaktari (physician) mpaka miaka 35 tena wanakudaka haraka sana , taaluma nyingine zina changamoto kidogo kwani wenye fani za Arts ni wengi japo wanaweza kuchukua mpaka 32yrs
Hivi mkuu sio mwisho 25yrs kwa other professions apart from udaktari?