Mjomba mkata maneno
New Member
- Jul 14, 2020
- 4
- 10
Nataka kujua kuhusu jeshi especially nafasi za kujitolea kwa mwaka huu 2022-2023 , kama kuna mtu anaye fahamu uwezekano wa kutoka Upo Au lah na kama Upo wanatoa lini, to my side nachojua every year june wanaenda for
Six walichaguliwa kwa mujibu , je nafasi za za hiari za jeshi zitatoka kabla ya mwezi wa sita or baada ya mwezi wa sita
Six walichaguliwa kwa mujibu , je nafasi za za hiari za jeshi zitatoka kabla ya mwezi wa sita or baada ya mwezi wa sita