Nafasi za ajira muda tume ya Taifa ya uchaguzi NEC

MIE NILITUMA JANA SAA 3 USIKU KABLA YA MECHI KUANZA YA KOCHA WA TOTENHAM KUWA PUUZIA WALIO IWEZESHA TIMU KUINGIA FAINALI
 
Hakuna feedback we subiria tu siku uitwe then mkapambane pale taifa
 
MIE NILITUMA JANA SAA 3 USIKU KABLA YA MECHI KUANZA YA KOCHA WA TOTENHAM KUWA PUUZIA WALIO IWEZESHA TIMU KUINGIA FAINALI
Maombi yote yatafanyiwa kazi kuanzaia j3 tangazo limetoka ijumaa, j'mos na j'pili sio siku za kazi kiserikali ata ukituma j'tatu mapema sawa tu.
 
Hapo waandae usaili kufanyia Uwanja ule wa Mkapa
nazijua izo mzee ata ukipata kazi malipo yake mnapanga mstari usaili mnasimama kwenye foleni adi vyeti vyako vikaguliwe ushachomeka na jua Sana Kama huna moyo unakimbia.
 
wakuu naombeni aliyepewa feedback pale pindi alipotuma maombi aweke screenshot hapa wakuu , tuone
 
wakuu naombeni aliyepewa feedback pale pindi alipotuma maombi aweke screenshot hapa wakuu , tuone
 
#HABARI. NEC WATANGAZA FURSA ZA AJIRA ZA MUDA:

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza nafasi za kazi za muda kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura.Kwa mujibu wa tangazo la maombi ya ajira hizo lililosainiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi, Mabamba Rajabu Moses, Watanzania wenye umri kuanzia miaka 18 na wasiozidi miaka 45 wametakiwa kuomba.

Kwa mujibu wa tangazo hilo, sifa nyingine za waombaji ni kuwa na elimu ya kidato cha nne na kuendelea na awe na ujuzi wa kutumia kompyuta.

“Awe na uwezo wa kutambua matatizo ya kompyuta ya hardware na software na kuyatatua” ilisema sehemu ya tangazo hilo na kuongeza kuwa:.“Awe na uwezo wa ku-istall programu za kompyuta na kutoa msaada wa kuifundi wa TEHAMA kwa watumiaji.”

“Awe hajawahi kutiwa hatiani kwa makosa ya jinai na awe na uwezo wa kufanya kazi katika mazingira yenye usimamizi mdogo.”

Sifa nyingine za ziada za kazi hiyo zimetajwa kwenye tangazo hilo linalopatikana kwenye Tovuti ya NEC ya www.nec.go.tz na mitandao ya kijamii ya NEC.
 
aseee, vp wameshatoa majina ? dah mie nina tumia jamiiforums ya freebasics , uchumi mgumu mkuu, dah mkuu, usaili unafanyika lin
Yap, washatoa majina.
Screenshot_20190603-200413.jpeg
 
Back
Top Bottom