Hii miaka hamsini sio tunasherehekea kwa kucheza ngoma ,kuvaa tisheti,kubeba mabango ya kupongeza ujinga na kujipatia pa diemu, ukiwa kama msomi ni muda wa kuji evaluati usomi wako umetumikaje kuikomboa jamii, sio unasema tu tuna amani hebu tuache fikra butu, difinisheni ya amani inaanzia kwenye mind ya mtu, kukichafuka kichwani kwa mtu ndipo hata amani ya nchi inakuwa hatiani, sasa hebu angalia matatizo yanayomkabiri mtanzania ndiyo yatakayopelekea mtanzania kuthubutu na kukosa uzzalendo kwa nchi yake isiyokuwa na uzalendo naye,shime kwenu wasomi tumieni muda na kisomo chenu kwa kuelimisha na kuufumbua macho jamii,