Nafasi ya wasomi ktk miaka hamsini

adabet

Member
Dec 14, 2010
6
0
Hii miaka hamsini sio tunasherehekea kwa kucheza ngoma ,kuvaa tisheti,kubeba mabango ya kupongeza ujinga na kujipatia pa diemu, ukiwa kama msomi ni muda wa kuji evaluati usomi wako umetumikaje kuikomboa jamii, sio unasema tu tuna amani hebu tuache fikra butu, difinisheni ya amani inaanzia kwenye mind ya mtu, kukichafuka kichwani kwa mtu ndipo hata amani ya nchi inakuwa hatiani, sasa hebu angalia matatizo yanayomkabiri mtanzania ndiyo yatakayopelekea mtanzania kuthubutu na kukosa uzzalendo kwa nchi yake isiyokuwa na uzalendo naye,shime kwenu wasomi tumieni muda na kisomo chenu kwa kuelimisha na kuufumbua macho jamii,
 
nice food for thought!!! hichi ndicho kinanifanya nionekane punguani mbele za wenzangu, ninapopishana na opportunities nikisimamia facts!
 
Hii miaka hamsini sio tunasherehekea kwa kucheza ngoma ,kuvaa tisheti,kubeba mabango ya kupongeza ujinga na kujipatia pa diemu, ukiwa kama msomi ni muda wa kuji evaluati usomi wako umetumikaje kuikomboa jamii, sio unasema tu tuna amani hebu tuache fikra butu, difinisheni ya amani inaanzia kwenye mind ya mtu, kukichafuka kichwani kwa mtu ndipo hata amani ya nchi inakuwa hatiani, sasa hebu angalia matatizo yanayomkabiri mtanzania ndiyo yatakayopelekea mtanzania kuthubutu na kukosa uzzalendo kwa nchi yake isiyokuwa na uzalendo naye,shime kwenu wasomi tumieni muda na kisomo chenu kwa kuelimisha na kuufumbua macho jamii,


Wasomi wetu miaka 50 ya uhuru upande wa maendeleo ya sayansi na teknolojia wamefanya kama hawa waganda? ambao juzi wamezindua gari walilotengeneza wao wenyewe? ukiacha mambo ya assembling?

The car is good. What is happening at Makerere is a renaissance; you fellows are waking up from a long slumber,” President Museveni told the university dons after launching the Kiira EV.
 
Hii miaka hamsini sio tunasherehekea kwa kucheza ngoma ,kuvaa tisheti,kubeba mabango ya kupongeza ujinga na kujipatia pa diemu, ukiwa kama msomi ni muda wa kuji evaluati usomi wako umetumikaje kuikomboa jamii, sio unasema tu tuna amani hebu tuache fikra butu, difinisheni ya amani inaanzia kwenye mind ya mtu, kukichafuka kichwani kwa mtu ndipo hata amani ya nchi inakuwa hatiani, sasa hebu angalia matatizo yanayomkabiri mtanzania ndiyo yatakayopelekea mtanzania kuthubutu na kukosa uzzalendo kwa nchi yake isiyokuwa na uzalendo naye,shime kwenu wasomi tumieni muda na kisomo chenu kwa kuelimisha na kuufumbua macho jamii,

Hakuna huo muda, kila msomi anawaza kuingia kule ambako atakuwa na uhakika wa kupata mkate wake wa kila siku.....MJENGONI!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom