Bora mmemuuliza manake naona hakuna maana ya kuwa na degree sasa?duka gani?Murefu wenzio wako serious.........LOL
interested... mpango mzima unakuwaje?
tuma vyeti hivyo upate ajira
wapi sasa?
hahahhaaaa sugua mpaka utoke kipara
hebu nirahisishie maisha bana
kuna kinaniii hicho
Awe na uwezo wa kupga hesabu na anaexprience ya kuuza cjin ya miaka 5 na hajawah kuiba chochote dukan wala kuonga na awe na degree ya account
Angalia sana kutafuta muuza mwenye experience....unaweza pata mwenye experience ya kukuibia. Kazi kama ya duka haihitaji experience yoyote kwa mtazamo wangu, kigezo cha kujua hesabu tu kinatosha..... KUNA WALAKINI WA KUPATA SIYE NDIYE.....
Hayo ni maoni yangu tu lakini
teh teh teh...Heee! Muuza duka awe na degree tena ya accounts!