Nafasi ya masomo kidato cha tano

Emman1985

Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
37
Reaction score
44
Kowak Girls' High School, shule bora kabisa kwa sasa kanda ya ziwa. Karo yao ni nafuu, in shilingi milioni mbili kwa mwaka na inalipwa kwa awamu nne. Godoro na kitanda, na chakula vinapatikana shuleni bila gharama za ziada.
Kwa maelezo zaidi piga; 0767021662

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…