Nafasi ya Makamu wa Rais Ifutwe

Nafasi ya Makamu wa Rais Ifutwe

wao wenyewe wanashindwa ku exercise powers vested upon them.
Wanipe mie ndo watajua makamu wa rais ni nani na anamlaka gani.
 
wao wenyewe wanashindwa ku exercise powers vested upon them.
Wanipe mie ndo watajua makamu wa rais ni nani na anamlaka gani.
Umenikumbusha Naibu Waziri Mkuu Augustine Lyatonga Mrema hadi natamani cheo hicho kiwekwe kwenye katiba!Ilikuwa hakuna kulala.
 
Nafasi Za wakuu wa mikoa pamoja na wakuu wawilaya zifutwe
 
Hata Marekani makamu wa Rais huwa hana madaraka makubwa.. zaidi sana president wa Senate na haruhusiwi kuchangia chochote zaidi ya kupiga kura ikitokea kuna draw..

Ila toka Magu ameingia naona kama makamu wa Rais anafanya kazi sana. Miaka ya nyuma enzi za shein ndo walikuwa wakata utepe kwenye makaravati..
 
Chadema visa sana!

Yaani Ofisi ya Makamu wa Rais ifutwe kwa kuwa Lema hajapewa Fursa ya kupiga Soga Msibani!

Ule Msiba wa Kitaifa uliitishwa na Serikali ya CCM na wao si waitishe Matanga ya Kitaifa waongee mpaka wachoke na wamnyime nafasi ya kuongea Mkuu wa Mkoa?
 
Ukweli ni kuwa nchi nyingi zenye VP, huwezi kumuona PM. Hakuna sababu za kuwa na VP na PM at the same time.

Lakini case ta TZ ni tofauti, VP yupo ili kulinda muungano zaidi, wala sio kwa sababu anamsaidia raisi majukumu yake, ndio maana tunaona kazi za VP kwa TZ mostly ni ceremonial, sijui kwa "huko chumbani" wanapokaa, lakini kwa nje ndivyo inavyoonekana.

Angalia mataifa yote, makubwa na madogo hakuna PM na VP at the same time.
 
Salaam,
Natambua kwamba nafasi ya Makamu wa Rais imetajwa katika Sehemu ya Pill ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 47(1) nanukuu Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye ndiye atakuwa msaidizi mkuu wa rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla na hususani.

a) atamsaidia rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku hats siku za mambo ya Muungano
b) atafanya kazi zote atakazoagizwa na rais
c) atafanya kazi zote za rais kama rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.Mwisho wa kunukuu

Tangu tuanze kuwa na makamu wa rais asiye rais wa Zanzibar pia, nafasi hiyo imekuwa mama ya kuwafurahisha watu wa Zanzibar, haina nguvu wala mvuto. Waziri Mkuu anaonekana kama anamsaidia rais vizuri na kwa ufanisi zaidi kuliko makamu wake, Ana sauti, nguvu na mamlaka.

Akitoa maagizo yanafuatwa. Kuna haja gani tena ya kuwa na makamu wa rais? Ni matumizi mabaya ya rasilimali, tunapoteza fedha. Naona ofisi ya makamu wa rais ina waziri anayeshughulika na Muungano na Mazingira.

Mazingira ni active zaidi kuliko muungano. Makamu wa Rais ni kama anapuuzwa. Fikiria kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo,anagoma kutekeleza maagizo ya bosi wake kuhusu itifaki inakuwaje?

Nafasi hii napendekeza ifutwe. PM anatosha.


Hata huu muungano ufutwe maana si muungano ni uvamizi na ndio yakazuka haya mambo ya makamo wa Raisi.

Wazanzibari hawautaki muungano ni nguvu ya jeshi tu ndiyo inayotumika pamoja na umafia wa CCM na kanisa katoliki
 
Salaam,
Natambua kwamba nafasi ya Makamu wa Rais imetajwa katika Sehemu ya Pill ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 47(1) nanukuu Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye ndiye atakuwa msaidizi mkuu wa rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla na hususani.

a) atamsaidia rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku hats siku za mambo ya Muungano
b) atafanya kazi zote atakazoagizwa na rais
c) atafanya kazi zote za rais kama rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.Mwisho wa kunukuu

Tangu tuanze kuwa na makamu wa rais asiye rais wa Zanzibar pia, nafasi hiyo imekuwa mama ya kuwafurahisha watu wa Zanzibar, haina nguvu wala mvuto. Waziri Mkuu anaonekana kama anamsaidia rais vizuri na kwa ufanisi zaidi kuliko makamu wake, Ana sauti, nguvu na mamlaka.

Akitoa maagizo yanafuatwa. Kuna haja gani tena ya kuwa na makamu wa rais? Ni matumizi mabaya ya rasilimali, tunapoteza fedha. Naona ofisi ya makamu wa rais ina waziri anayeshughulika na Muungano na Mazingira.

Mazingira ni active zaidi kuliko muungano. Makamu wa Rais ni kama anapuuzwa. Fikiria kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo,anagoma kutekeleza maagizo ya bosi wake kuhusu itifaki inakuwaje?

Nafasi hii napendekeza ifutwe. PM anatosha.
Makamu wa Rais popote pale yupo kwa ajili ya kutwaa madraka,endapo Rais hatokuwepo madarakani kama ilivyoainishwa kwenye katiba.Hiyo ndio kazi ya makamu wa Rais,mengine ni ziada tu atakazopewa na Rais
Nadhani hata makamu wa Rais wa sasa wa Marekani humjui ukisoma thread hii,anaejulikana sana ni Trump,lakini yupo makamu.
Muwe mnauliza kwanza kabla ya kulipuka na thread
 
Salaam,
Natambua kwamba nafasi ya Makamu wa Rais imetajwa katika Sehemu ya Pill ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 47(1) nanukuu Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye ndiye atakuwa msaidizi mkuu wa rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla na hususani.

a) atamsaidia rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku hats siku za mambo ya Muungano
b) atafanya kazi zote atakazoagizwa na rais
c) atafanya kazi zote za rais kama rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.Mwisho wa kunukuu

Tangu tuanze kuwa na makamu wa rais asiye rais wa Zanzibar pia, nafasi hiyo imekuwa mama ya kuwafurahisha watu wa Zanzibar, haina nguvu wala mvuto. Waziri Mkuu anaonekana kama anamsaidia rais vizuri na kwa ufanisi zaidi kuliko makamu wake, Ana sauti, nguvu na mamlaka.

Akitoa maagizo yanafuatwa. Kuna haja gani tena ya kuwa na makamu wa rais? Ni matumizi mabaya ya rasilimali, tunapoteza fedha. Naona ofisi ya makamu wa rais ina waziri anayeshughulika na Muungano na Mazingira.

Mazingira ni active zaidi kuliko muungano. Makamu wa Rais ni kama anapuuzwa. Fikiria kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo,anagoma kutekeleza maagizo ya bosi wake kuhusu itifaki inakuwaje?

Nafasi hii napendekeza ifutwe. PM anatosha.
Unashangaa hio, rais wa Zanzibar kuwa waziri Asië kuwa na wizara maalum, ni kuidhalilisha kiti cha urais wa Zanzibar, jengine hakuna kazi yoyote anayo fanya waziri na kama ipo watueleze, kazi kupoteza rasilimali bure.
Mzizi wa fitna ni serikali tatu tu
 
Makamu wa Rais popote pale yupo kwa ajili ya kutwaa madraka,endapo Rais hatokuwepo madarakani kama ilivyoainishwa kwenye katiba.Hiyo ndio kazi ya makamu wa Rais,mengine ni ziada tu atakazopewa na Rais
Nadhani hata makamu wa Rais wa sasa wa Marekani humjui ukisoma thread hii,anaejulikana sana ni Trump,lakini yupo makamu.
Muwe mnauliza kwanza kabla ya kulipuka na thread
Niko makini sana kuliko unavyojua. Unataka nikuulize wewe mama nani? Acha ujuaji mkuu.Nani asiyemjua Pence? Be serious.
 
Back
Top Bottom