Nafasi ya Makamu wa Rais Ifutwe

Nafasi ya Makamu wa Rais Ifutwe

Toosweet

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2012
Posts
2,140
Reaction score
1,983
Salaam,
Natambua kwamba nafasi ya Makamu wa Rais imetajwa katika Sehemu ya Pill ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 47(1) nanukuu Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye ndiye atakuwa msaidizi mkuu wa rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla na hususani.

a) atamsaidia rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku hats siku za mambo ya Muungano
b) atafanya kazi zote atakazoagizwa na rais
c) atafanya kazi zote za rais kama rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.Mwisho wa kunukuu

Tangu tuanze kuwa na makamu wa rais asiye rais wa Zanzibar pia, nafasi hiyo imekuwa mama ya kuwafurahisha watu wa Zanzibar, haina nguvu wala mvuto. Waziri Mkuu anaonekana kama anamsaidia rais vizuri na kwa ufanisi zaidi kuliko makamu wake, Ana sauti, nguvu na mamlaka.

Akitoa maagizo yanafuatwa. Kuna haja gani tena ya kuwa na makamu wa rais? Ni matumizi mabaya ya rasilimali, tunapoteza fedha. Naona ofisi ya makamu wa rais ina waziri anayeshughulika na Muungano na Mazingira.

Mazingira ni active zaidi kuliko muungano. Makamu wa Rais ni kama anapuuzwa. Fikiria kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo,anagoma kutekeleza maagizo ya bosi wake kuhusu itifaki inakuwaje?

Nafasi hii napendekeza ifutwe. PM anatosha.
 
Yan ht wife ambae co mfuatiliaji wa mambo ya politiki amenambia kitu hicho, aliniuiliza hivi kazi ya makamu wa raisi ni ipi mbn namuona huyu mama yy kila siku ni kufungua makongamano, maonesho, majengo nk..... mm naweza sema ni matumizi mabaya ya rasilimali za umma!
 
Kuna mambo yanatakiwa yawepo hata kama hayana umuhimu..... lkn yanakuwa nafaida kwenye mambo ya siasa na kimaendeleo.

Mfano mdogo tu ... Makamu wa Rais amemuwakilisha mara ngapi Rais wa Jamhuri kwenye mikutano ya kimataifa ? Wakat mheshimiwa Rais akiendelea na majukumu yk ndani ....je hii siyo faida ya kuwa na ...Makamu wa Rais ..
Kuna faida nyingi ya kuwa na makam wa Rais . ..lkn haya ni mtazamo wangu tu
 
Mkuu; kwa aina ya muungano uliopo ni rahisi kufuta baraza la mawaziri na hata nafasi ya waziri mkuu kuliko nafasi ya VP. Sharti kuu la Mkataba (sijui Hati) wa Muungano ni kwamba "endapo Rais akitoka upande mmoja wa muungano, Makamu wake atoke upande wa pili"; huu ndio mhimili wa muungano uliobaki hizo nyingine; sijui mambo ya muungano, etc. ni mbwembwe tu.

Hivyo basi, kwa hoja yako, unamaanisha muungano uvunjwe jambo ambalo sidhani kama kuna aliye tayari kulifanya. Kimsingi, President na VP ndio muungano wenyewe; acha mizaha.
 
Salaam,
Natambua kwamba nafasi ya Makamu wa Rais imetajwa katika Sehemu ya Pill ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 47(1) nanukuu Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye ndiye atakuwa msaidizi mkuu wa rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla na hususani.

a) atamsaidia rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku hats siku za mambo ya Muungano
b) atafanya kazi zote atakazoagizwa na rais
c) atafanya kazi zote za rais kama rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.Mwisho wa kunukuu

Tangu tuanze kuwa na makamu wa rais asiye rais wa Zanzibar pia, nafasi hiyo imekuwa mama ya kuwafurahisha watu wa Zanzibar, haina nguvu wala mvuto. Waziri Mkuu anaonekana kama anamsaidia rais vizuri na kwa ufanisi zaidi kuliko makamu wake, Ana sauti, nguvu na mamlaka.

Akitoa maagizo yanafuatwa. Kuna haja gani tena ya kuwa na makamu wa rais? Ni matumizi mabaya ya rasilimali, tunapoteza fedha. Naona ofisi ya makamu wa rais ina waziri anayeshughulika na Muungano na Mazingira.

Mazingira ni active zaidi kuliko muungano. Makamu wa Rais ni kama anapuuzwa. Fikiria kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo,anagoma kutekeleza maagizo ya bosi wake kuhusu itifaki inakuwaje?

Nafasi hii napendekeza ifutwe. PM anatosha.
Nimeacha kusoma matapishi yako pale uliposema makamu wa Rais ipo kuwafurahisha waznz.. huku hujui ya kuwa kama siku Raisi akitokea znz.. kwa hivyo point yako haina mshiko...Kaisome vizuri Kariba ya JMT na muhimili wa Muungano
 
Nimeacha kusoma matapishi yako pale uliposema makamu wa Rais ipo kuwafurahisha waznz.. huku hujui ya kuwa kama siku Raisi akitokea znz.. kwa hivyo point yako haina mshiko...Kaisome vizuri Kariba ya JMT na muhimili wa Muungano
Pole sana mkuu, try to be your age
 
Kuna mambo yanatakiwa yawepo hata kama hayana umuhimu..... lkn yanakuwa nafaida kwenye mambo ya siasa na kimaendeleo.

Mfano mdogo tu ... Makamu wa Rais amemuwakilisha mara ngapi Rais wa Jamhuri kwenye mikutano ya kimataifa ? Wakat mheshimiwa Rais akiendelea na majukumu yk ndani ....je hii siyo faida ya kuwa na ...Makamu wa Rais ..
Kuna faida nyingi ya kuwa na makam wa Rais . ..lkn haya ni mtazamo wangu tu
Angemtuma Balozi tu au Waziri wa Mambo ya Nje ingetosha
 
kwa hio na wewe ukiwa na mwanao halafu ukamtuma dukani akikataa utamfukuza kwako? au mkeo akikunyima unyumba siku moja utamtwanga talaka? acha mawazo bandia,unakuwa kama mchawi kipindi cha mvua
 
Hakuna sehemu yeyote duniani kukawa na cheo cha Rais pasiwe na cheo cha makamu wa Rais maana structure ya viongozi wakuu ni 3 na ndio mifumo ya utawala Dunian
1 Rais lazima kuwepo na makamu wake kama msaidizi wa Rais kwani kunawezekana Rais kufariki au kuwa nje ya majukumu (mgonjwa)au nje ya Nchi

2 Mfalme kukiwa na mfalme cheo kinachofata ni waziri mkuu hapawezi kuwa na mfalme then kukawa na cheo cha Rais
3 Chancellor huyu ni mtendaji mkuu wa majukumu ya serikali lakini kukiwa na Chancellor kunaweza kuwa na Rais au Mfalme lakini wanakuwa hawana maamuzi ya moja kwa moja kwa Serikali

Kwa Tanganyika vyeo vya kutoa ni wakuu wa mikoa na wakuu wa Wilaya kwani Mkurugenzi au mameya wanaweza fanya majukumu yao
 
Dr.Omary.A.Juma was a functioning vice president hawa tu tunaopewa sasa ndo wanatatzo even shein he was to some extent
 
Yan ht wife ambae co mfuatiliaji wa mambo ya politiki amenambia kitu hicho, aliniuiliza hivi kazi ya makamu wa raisi ni ipi mbn namuona huyu mama yy kila siku ni kufungua makongamano, maonesho, majengo nk..... mm naweza sema ni matumizi mabaya ya rasilimali za umma!
Acha kumdhalilisha mke wako
 
Back
Top Bottom