Upo maeneo yapi mkuu maana mimi nahitaji.Wakuu anaitajika mlinzi mmoja wa kulinda eneo kubwa,garage apa dar.
Malipo 150,000/=
Kula na kulala ni apapa
Shilingi elfu tano kwa siku hahahahaa unaonaje ukilinda mwenyewe?Wakuu anaitajika mlinzi mmoja wa kulinda eneo kubwa,garage apa dar.
Malipo 150,000/=
Kula na kulala ni apapa
Maisha yapo tofauti sana mkuu we unaiona ndogo lakini kwa wengine nikubwa sana kuna watu wanaumwa na mbu bure sasa kwa laki na chakula kipo ataona shida gani? Kulima bustani sio rahisi kama unavyofikiri so wakati mwingine ni vyema kukausha tuShilingi elfu tano kwa siku hahahahaa unaonaje ukilinda mwenyewe?
Mambo mengine upuuzi tu yaan mtu mzima ung'atwe na mbu mwezi mzima kwa laki 1 na nusu? Bora utafute eneo ulime bustani itakulipa, utakua huru, utapata muda wa kufanya mambo yako mengi, utapumzika vizuri na familia yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unyonyaji huo.Maisha yapo tofauti sana mkuu we unaiona ndogo lakini kwa wengine nikubwa sana kuna watu wanaumwa na mbu bure sasa kwa laki na chakula kipo ataona shida gani? Kulima bustani sio rahisi kama unavyofikiri so wakati mwingine ni vyema kukausha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo mashauzi kibao lakini njaa kaliiiii. Mnapiga mizinga mpaka mtu akiwaona anajificha. Mnanuka madeni Tala, Branch, Timiza, M-Pawa.Shilingi elfu tano kwa siku hahahahaa unaonaje ukilinda mwenyewe?
Mambo mengine upuuzi tu yaan mtu mzima ung'atwe na mbu mwezi mzima kwa laki 1 na nusu? Bora utafute eneo ulime bustani itakulipa, utakua huru, utapata muda wa kufanya mambo yako mengi, utapumzika vizuri na familia yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sahihi kabisa ila makampuni yaboreshe maslahi kidogo yaendane na uhalisia wa gharama za maisha.Wabongo mashauzi kibao lakini njaa kaliiiii. Mnapiga mizinga mpaka mtu akiwaona anajificha. Mnanuka madeni Tala, Branch, Timiza, M-Pawa.
Bahati nzuri hawalazimishi mtu kufanya kazi kwao. Kuna mambo mengine madogo tu, ungekuwa mtafuta kazi ungeyajua.Ni sahihi kabisa ila makampuni yaboreshe maslahi kidogo yaendane na uhalisia wa gharama za maisha.
Hiyo ndio ilikua message yangu mkuu.
Elfu 5 ni kiduchu sana kama una familia, hiyo hiyo iwe nauli kwenda kazini na kurudi home, labda makazi pia ya kupanga, hiyo elfu 5 inafika wapi?
Makampuni yanapiga profit kubwa na kuwalipa top officials mishahara mikubwa mno hebu waangalie na hawa walinzi maana nao wana ensure survival ya kampuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
“Kivuri sikuzote kinamsahaulisha mtu”, Nakusihi usikufuru mungu tena ikiwa bado unaishi.Shilingi elfu tano kwa siku hahahahaa unaonaje ukilinda mwenyewe?
Mambo mengine upuuzi tu yaan mtu mzima ung'atwe na mbu mwezi mzima kwa laki 1 na nusu? Bora utafute eneo ulime bustani itakulipa, utakua huru, utapata muda wa kufanya mambo yako mengi, utapumzika vizuri na familia yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu anaitajika mlinzi mmoja wa kulinda eneo kubwa,garage apa dar.
Malipo 150,000/=
Kula na kulala ni apapa
Mshahara huo kwanza ni fair. Kuna sehemu watu wanapokea 80-100K na bado watu wanasavaivu. Watu wanasahau kwa wengine kazi hizi ni za kujishikiza wakati unaangalia ngazi nyingine.Wabongo mashauzi kibao lakini njaa kaliiiii. Mnapiga mizinga mpaka mtu akiwaona anajificha. Mnanuka madeni Tala, Branch, Timiza, M-Pawa.
Kuna watu wanalipwa laki hapa hapa Dar tena tarehe 58 na wana familia, wanakomaa tu.Mshahara huo kwanza ni fair. Kuna sehemu watu wanapokea 80-100K na bado watu wanasavaivu. Watu wanasahau kwa wengine kazi hizi ni za kujishikiza wakati unaangalia ngazi nyingine.
Ha ha haa haa daah.
Hata kwenye kima cha chini haupo.
Wakuu anaitajika mlinzi mmoja wa kulinda eneo kubwa,garage apa dar.
Malipo 150,000/=
Kula na kulala ni apapa
Kweli kabisaa.Mishahara ya hivi ndo inawatia vishawishini hao walinzi akija mwizi akampa mil 5 akapotea na mzigo wa mil 50 jamaa hawezi kuchomoa