je nikazi ya fulltime au part time?
kama ninaweza kuifanya nikiwa ofisini kwangu? maana nature ya kazi yangu huwa nakuwa online 14 hrs per day
we tayari kaziu umeikosa,soma maelezo vizuri,yanajitosheleza.
je nikazi ya fulltime au part time?
kama ninaweza kuifanya nikiwa ofisini kwangu? maana nature ya kazi yangu huwa nakuwa online 14 hrs per day
Mimi naomba mnipe uhariri wa Jukwaa la Wakubwa.
Watu kila siku Wanapost P@puch! tu, why not na Megabyte 00??
N:b,
Megabyte = MB
we unafikiri kila aliye mkoa ni mkulima eeh...mama ako
Matola kaza ulimi na ban yako tushakutumia PMhuu ni upotoshaji wa hali ya juu, hii ni fursa kwa mwanajf popote alipo ila eneo la kazi ni dar.
nawashauri member wa mikoani msisite kuomba hii ni ajila ukifanikiwa tuko member hapa wa dar na nyumba tunazo unaweza kuanzia maisha for one room free of charges.
Awe na umri kati ya miaka 24 33
Sie "wazee" (wenye zaidi ya miaka 33) tumeshabaguliwa!
Subiri wakihitaji mods wa jukwaa la MMU labda wataongeza umri.Nataka kukata rufaa kwa condition hii.......yaani wazee hatufai kuwa Mods? Vijana wamodereti wazee? Not fair at all!
mi kigezo cha mahali kimenikatia pozi ningeimoderet JF nikiwa hapa nilipo, sasa sijui mlikaa kikao gani na kuamua kua watakao omba watokee Dar ? Any way @kobun , Heaven on Earth , changamkieni fursa hiyo.