Watu wanakufa kila leo sababu za mawakala jamii yako....tunakutress nakuhakikishia ndani kunakuhusu nyauuu weweHabari, wanajf
Rejea kichwa cha habari juu, Fursa kwa mtu mwenye taaluma yeyote nchini awe kijana wa umri kati ya miaka 18-30 anaejitambua mwenye ueledi, uelewa na nidhamu kwa ujumla.
Nafasi hii ya Kazi kwa yeyote mwenye elimu ngazi ya Astashahada, stashahada au shahada ya mafunzo yeyote mshahara ni kati ya dola 400$ kwa muda wa mwezi mmoja,gharama za malazi, chakula na matumizi muhimu kwa mwajiriwa ni juu ya mwajiri.
Pia kuhusu gharama za kwenda mwajiriwa Inabidi ajigharamie nauli na visa awe na passport.
Kwa Maelezo na taarifa zaidi
WhatsApp au sms:0711633656 au 0746848506
iPhone 6s
Hiyo UAE ni salama kuzidi hata nchi yako, muulize mengine lakini sio usalama wa UAE hakuna nchi afrika inafikia usalama UAEUAE unamaaniaha United Arab Emirates au??? Kama ni huko bora niendelee kuisoma namba tu nisubiri vi-wonder...
Kama ni kifo bora kinikute hapa home kuliko kukifuata kwa maharamia huko...
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
UAE ni nchi za Kiarabu, ukishatajiwa kazi unayokwenda kuifanya usiache KUJIONGEZAAise, fursa hii jaman!
Sahamani lakini, ni kazi gani inayoenda kufanywa huko? kwasababu mara nyingi huwa tunafananisha kazi na kipato.
Umenena vyema, isije ikawa ukifika kule passport inazuiliwaMtu yeyote anayetaka kwenda huko itabidi aulize maswali muhimu yafuatayo.
1. Huyu anayetafutia kazi watu , kampuni yake imesajiliwa Tanzania kufanya kazi hizo na wameingia mkataba na wizara ya Kazi, ajira ...
2. Wizara ya mambo ya Nje imefahamishwa juu ya kampuni, wanaotafuta wafanyakazi toka Tanzania.
3. Hiyo kampuni ni kampuni gani na inafanya shughuli gani huko UAE na imesajiliwa huko UAE?
4. Wanatafuta wafanyakazi wa sifa zipi?
5. Usaili wa kazi unafanyika wapi?
6. Mkataba wa kazi unasainiwa kwa sheria ya ajira ya wapi
7. Wameshawahi kuajiri watu na hasa kutoka eneo la Afrika Mashariki na Tanzania kwa ujumla.
Yapo maeneo kadhaa ya kuuliza maswali, ukijiridhisha na angalau hapo juu , unaweza kuamua kama inafaa au vipi.
Kila la kheri, wanaotaka kazi UAE.
hamna kazi hapo wacha porojo!Habari, wanajf
Rejea kichwa cha habari juu, Fursa kwa mtu mwenye taaluma yeyote nchini awe kijana wa umri kati ya miaka 18-30 anaejitambua mwenye ueledi, uelewa na nidhamu kwa ujumla.
Nafasi hii ya Kazi kwa yeyote mwenye elimu ngazi ya Astashahada, stashahada au shahada ya mafunzo yeyote mshahara ni kati ya dola 400$ kwa muda wa mwezi mmoja,gharama za malazi, chakula na matumizi muhimu kwa mwajiriwa ni juu ya mwajiri.
Pia kuhusu gharama za kwenda mwajiriwa Inabidi ajigharamie nauli na visa awe na passport.
Kwa Maelezo na taarifa zaidi
WhatsApp au sms:0711633959 au 0742858500
iPhone 6s
Nina degree ya uchumi nipe nafasi nikafundishe economics hukoKazi kulingana na taaluma yk.halafu huo mshahara ni kiwango cha chini means inaweza kuwa zaidi kulingana na Kazi yk
iPhone 6s
Kumbe wanatabia hizo du!Mi nataman kwenda lakin mm mkristo isis wakijua mimi mkristo watanichinja maana wataniita aramu kafili dah nitafutie za ulay bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari, wanajf
Rejea kichwa cha habari juu, Fursa kwa mtu mwenye taaluma yeyote nchini awe kijana wa umri kati ya miaka 18-30 anaejitambua mwenye ueledi, uelewa na nidhamu kwa ujumla.
Nafasi hii ya Kazi kwa yeyote mwenye elimu ngazi ya Astashahada, stashahada au shahada ya mafunzo yeyote mshahara ni kati ya dola 400$ kwa muda wa mwezi mmoja,gharama za malazi, chakula na matumizi muhimu kwa mwajiriwa ni juu ya mwajiri.
Pia kuhusu gharama za kwenda mwajiriwa Inabidi ajigharamie nauli na visa awe na passport.
Kwa Maelezo na taarifa zaidi
WhatsApp au sms:0711633959 au 0742858500
iPhone 6s
bora kwendelea kuuza dagaa bongo