Mie niko hapahapa Dar ndugu yangu......yaani niko njia panda niende kwenye interview au..na nisipo enda afu kumbe ndo mie???daah!!
au ndo nishakosa tenaaaa
...well mkuu, kama upo hapa dar nakushauri uende, kwasababu hakuna ubaya wowote ukienda, usipoenda unaweza ukawa umejinyima nafasi adimu coz huenda ukawa ni wewe tu, nenda tu mkuu itakuwa ni wewe huwa kuna miss allocations.
Wadau hamna anayefahamu hili?"Naomba mnisaidie hawa pccb wanafanyaje kazi?na kama umeitwa kwenye professional unaenda kwenye hiyo au ndio utakuwa unazunguka kupeleleza watu?je maslahi yakoje na usalama wa kazi?"
Ha ha ha sio kosa mkuu,japo ukifahamu sehemu ipi inaliwa na hipi ailiwi sio mbaya ili uweze kumla vizuri na kupata afya njema usije ukala sehemu zenye madhara.wewe kijana acha hizo,ukimchunguzwa bata hutaweza kumla.