Kazi ni massage service.
Sifa za waombaji
1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.
2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)
3. Awe mkazi wa dar es salaam, ikiwa anaishi mikocheni,sinza,mbezi beach,kijotonyama,kawe atapewa kipaumbele.
4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.
5. Ajue kizungu kidogo kuweza kuzungumza na wateja.
★eneo la kazi ni mikocheni
Mshahara kwa mwezi ni tsh 250,000/= na kuendelea, kulingana na kazi uifanyayo.
Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.
Wahudumu wanaohitajika ni watatu (3) tu.
Kuomba nafasi hii bonyeza link hapo chini
Jobsfacilitators@gmail.Com
Sifa za waombaji
1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.
2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)
3. Awe mkazi wa dar es salaam, ikiwa anaishi mikocheni,sinza,mbezi beach,kijotonyama,kawe atapewa kipaumbele.
4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.
5. Ajue kizungu kidogo kuweza kuzungumza na wateja.
★eneo la kazi ni mikocheni
Mshahara kwa mwezi ni tsh 250,000/= na kuendelea, kulingana na kazi uifanyayo.
Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.
Wahudumu wanaohitajika ni watatu (3) tu.
Kuomba nafasi hii bonyeza link hapo chini
Jobsfacilitators@gmail.Com