Unatoa pesa mfuko wa mbele na kuziweka mfuko wa nyuma.Hii maana yake haina kuajiriwa mtumishi mpya
Mkuu now seriikalini kazi inayofanywa na watu3 inafanywa na mtu mmoja....na serikali inabania kutoa ajira kwa wingiHiki chuo cha tatu kutangaza nafasi za wanaopenda kuhamia hivi karibuni.
Hii ni baada ya kukosa kibali cha kuajiri au uhitaji wa haraka?
Unatoa pesa mfuko wa mbele na kuziweka mfuko wa nyuma.
Ila hili tangazo limechapishwa kihuni.
How to apply?
Sifa zipi?
Au kwakuwa wameweka website na nambari za simu
Shughuli ipo kwa walio ndani na njeMkuu now seriikalini kazi inayofanywa na watu3 inafanywa na mtu mmoja....na serikali inabania kutoa ajira kwa wingi
Kuuliza sio ujinga, hili suala niliwahi kimuuliza mtu akanijibu vizuri tu, ila kwa namna ninavyosoma haya matangazo ya nafasi za kuhamia kwa watumishi najisikia kuuliza tena.Sifa ni kuwa mtumishi wa umma ktk nafasi husika... hizo ni transfer post, hazihitaj mbwembwe