Kama huna account bank weka pesa kwenye Airtel money au Mpesa.Nataka kufanya in app purchases kwenye game moja. Lakini nikitaka kufanya manunuzi naletewa sanduku nitype namba ya credit au debit card. Hakuna njia mbadala ya kununua app au features fulani? Hizo credit/debit card ndio napataje?
Asante sana mkuu nitafanyia kazi.Kama huna account bank weka pesa kwenye Airtel money au Mpesa.
Kwa Airtel money unafuata menu unaunda card then unafanya manunuzi.
Kwa Mpesa, utatakiwa kwanza kuunda kadi, kuhamisha pesa kutoka Mpesa kwenda kwenye kadi ndipo ufanye manunuzi.
Details zote ( Account number, Dates, CVV ) za kuingiza wakati wa kufanya manunuzi utazipata baada ya kuunda kadi.
KUMBUKA: Maelezo yote ya kuunda kadi utayapata kwenye Menu ( Mpesa/Airtel money )
Nataka kufanya in app purchases kwenye game moja. Lakini nikitaka kufanya manunuzi naletewa sanduku nitype namba ya credit au debit card. Hakuna njia mbadala ya kununua app au features fulani? Hizo credit/debit card ndio napataje?
Wengi humu wamekushauri sana kuhusu Visa/Master Cards lakini mimi namalizia kwa kukushauri kama we ni mtu wa manunuzi online na unapenda uharaka wa malipo, fee ndogo na refunds ziwe zinarudi ndani ya masaa tu basi huna budi kufungua M-Pesa Mastercard, Kwanza wana fee ndogo sana ya 4% tu kwa kila unapolipia mzigo iwe Aliexpress, Gearbest (Hapa unailink na PayPal inakubali na unalipia kwa PayPal na hata refund inarudi vizuri kama mambo yakienda ndivyo sivyo), Taobao, Alibaba, eBay, Amazon n.kNataka kufanya in app purchases kwenye game moja. Lakini nikitaka kufanya manunuzi naletewa sanduku nitype namba ya credit au debit card. Hakuna njia mbadala ya kununua app au features fulani? Hizo credit/debit card ndio napataje?
Bank ABC wanacharge 2000 kila unsuccessful attempt ya kulipa. Mfano kama kuna kitu unatakiwa kulipa kila mwezi na hela huna na kile kitu kina jaribu mara kwa mara kukata hela basi salio lako linakwenda - 2000 kila wanapojaribu, mwisho wa siku unakuwa na deni kubwa ukiweka hela wanakata zote. Niliwakimbia baada ya kuniliza hela yangu ndefu.Wengi humu wamekushauri sana kuhusu Visa/Master Cards lakini mimi namalizia kwa kukushauri kama we ni mtu wa manunuzi online na unapenda uharaka wa malipo, fee ndogo na refunds ziwe zinarudi ndani ya masaa tu basi huna budi kufungua M-Pesa Mastercard, Kwanza wana fee ndogo sana ya 4% tu kwa kila unapolipia mzigo iwe Aliexpress, Gearbest (Hapa unailink na PayPal inakubali na unalipia kwa PayPal na hata refund inarudi vizuri kama mambo yakienda ndivyo sivyo), Taobao, Alibaba, eBay, Amazon n.k
Uzuri hizi virtual kadi zao zinadumu kwa miezi 6 na hata iki expire pesa ako automatically wanaitoa huko na kurudishwa kwenye account ya m-pesa then unaweza fungua nyingine tena ukaendelea na kazi ni limitless kufungua kadi pindi inapo expire, Achana na virtual card ya Airtel zingatia sana hili utakuja kunikumbuka siku ukiitumia kwanini nimekushauri uachane nayo...
Otherwise kama unapenda kua na kadi kabisa basi fungua account kwenye Banc ABC ya dollar, hii pia ni nzuri sana na utafanya nayo manunuzi popote..
Hiyo ya Tigo ingekuwa kote ingerahisisha sana. Voda wana hii airtime billing system, inazingua sana ukitaka kuitumia playstore.Alternative unaweza lipa kwa Tigo pesa kama unaona kazi ndefu kufungua mastercard. Ukiwa unatumia mtandao wa tigo Nenda setting za playstore kwenye payment kachague tigopesa.
Yeah hii kwa tigo pesa huwa natumia, Pia voda inakubali tatizo mpaka uweke vocha kama vocha, billing system yao haitumii m-pesa tofauti na ya tigo [emoji3]Alternative unaweza lipa kwa Tigo pesa kama unaona kazi ndefu kufungua mastercard. Ukiwa unatumia mtandao wa tigo Nenda setting za playstore kwenye payment kachague tigopesa.
Kwangu inafanya kazi vizuri tu zote ya tigo na voda nalipiaga sana premium apps na subscriptions za vpns.. Ina principles zake kufanikisha malipo..Hiyo ya Tigo ingekuwa kote ingerahisisha sana. Voda wana hii airtime billing system, inazingua sana ukitaka kuitumia playstore.
🤣🤣🤣🤣🤣Hebu tuma card number, expiry date na CVV nikusaidie fasta [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji848] Kumbe tena wako hivi, Ila @msouzy anatumia hiyo kwenye mishe zake za online purchases sijui anakwepa vipi haya [emoji28]Bank ABC wanacharge 2000 kila unsuccessful attempt ya kulipa. Mfano kama kuna kitu unatakiwa kulipa kila mwezi na hela huna na kile kitu kina jaribu mara kwa mara kukata hela basi salio lako linakwenda - 2000 kila wanapojaribu, mwisho wa siku unakuwa na deni kubwa ukiweka hela wanakata zote. Niliwakimbia baada ya kuniliza hela yangu ndefu.
Hebu tuma card number, expiry date na CVV nikusaidie fasta [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Labda hana subscription[emoji848] Kumbe tena wako hivi, Ila @msouzy anatumia hiyo kwenye mishe zake za online purchases sijui anakwepa vipi haya [emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wauni sio watu