GE2025 Nafanya biashara kwa sababu ya mama Samia

GE2025 Nafanya biashara kwa sababu ya mama Samia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Naona machawa wanaendelea kukichufua na kumkingia kifua Rais Samia

Lakini nikiitizama hii video ya hawa wafanyabiashara naona walilamba asali kwanza ndio wakapata nguvu ya kuongea yote

 
Kama yeye ilivyo Haki yake ya Kuachiwa mama Yake na ndivyo ilivyo Haki ya Wengine kusema Nini nini..., Ukizingatia huyo Mama yake analipwa na hawa watu wala hafanyi Hisani...

Kama hawezi ku-handle the HEAT basi anaweza kutoka Jikoni....
 
Ndio yale yake ya kuacha kujibu hoja na kumparamia binafsi , sasa kwani asipo zaa wewe unapungukiwa kitu gani
Wakati wa vita kila aina ya silaha hutumika. Lengo ni ushindi haijalishi ni panga au nyengo/mundu n.k imetumika.
 
Back
Top Bottom