Nafanana na Kim Kardashian

Sielew uko pm ndo wapy jmn,me mgenii,najua kupost thread na kucomment basii..nielekeze
 
Hahahah kama una maungo sawa na ya Kim Kardashian ingekuwa vyema ukate shauku ya wana JF kwa kuonyesha picha yako moja hapa
 
mimi sijafanana na mtu ila kuna watu wamefanana na mimi..teh!teh.............drake + usha =
 
Hiyo waist to hips ratio mbona si mali kitu. Hebu fanya hii hapa yangu uuone ni jinsi gani nadata na li wowowo.....waist 34; Hips 54 inches :shock:


Kim K,has always been my favourite fashionista of all times,kw wale mnaomjua na kumfatilia mikato yake internet na E! Kwny Keeping up with th kardashians nk. kiukwel anajua kupendezaa,kuanzia dresses,pencil skirts,long sleeved shirts and blouses,jeans na bikini js to mention few..sasa cku moja hom si nikaamua kujipima hips to waist ratio ikawa 0.69,waist 26-hips 39 cm,badae napitia pitia google si nakuta vipimo kama vya kim,nilifurahijeee,no wonder nikimgeza kim i always look fabulous,...dadaa jipime na wew ur curves ujue unafanana na celeb gan ikusaidie kwenye choice ya viwalo vinavomtoa ili upendeze zaidiii na kuwa classic....
 
huyu mwanzisha mada atakuwa amepokea PM zisizopungua 100!

hihihih....na nkitupia pcha itakuwaje atii,had naogopaaa lolz...
Nlianzisha thread for th sake of my fellow ladies wajijue namna gan wavae wapendeze zaid,looh,kashershee
 
kiuno changu na umbo ratio kama khadija kopa, mume wangu Asprin njoo uwaambie hapa unavyojifaidia minyama, kha! kwi kwi kwi! kazi ipo wallahi!
 
Last edited by a moderator:
kiuno changu na umbo ratio kama khadija kopa, mume wangu Asprin njoo uwaambie hapa unavyojifaidia minyama, kha! kwi kwi kwi! kazi ipo wallahi!
Nachokifaidi toka kwako, itabakia kuwa siri yangu. Wallah huu utamu ukimpa mwingine mi kujilipua sio tatizo sana.... Mwaaa cacico wa ODM, mwaaa tena.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom