Nafanana na Kim Kardashian

weka picha tuone umbo maana ndilo unaloongelea...sura ficha ila ukiiweka itakua bpoa zaidi..wink wink..
 
Sasa si nishawapa sample wazeiya...kama kim,..vipimo tunafanana
 
Kim K,has always been my favourite fashionista of all times,kw wale mnaomjua na kumfatilia mikato yake internet na E! Kwny Keeping up with th kardashians nk. kiukwel anajua kupendezaa,kuanzia dresses,pencil skirts,long sleeved shirts and blouses,jeans na bikini js to mention few..sasa cku moja hom si nikaamua kujipima hips to waist ratio ikawa 0.69,waist 26-hips 39 cm,badae napitia pitia google si nakuta vipimo kama vya kim,nilifurahijeee,no wonder nikimgeza kim i always look fabulous,...dadaa jipime na wew ur curves ujue unafanana na celeb gan ikusaidie kwenye choice ya viwalo vinavomtoa ili upendeze zaidiii na kuwa classic....

I find you so attractive then... Mi nafanana na Snoop-Lion.
 
Ndo nan uyo snoop lion...bora ungefanana na reggie b au kanye...hehehe
 
Kim K,has always been my favourite fashionista of all times,kw wale mnaomjua na kumfatilia mikato yake internet na E! Kwny Keeping up with th kardashians nk. kiukwel anajua kupendezaa,kuanzia dresses,pencil skirts,long sleeved shirts and blouses,jeans na bikini js to mention few..sasa cku moja hom si nikaamua kujipima hips to waist ratio ikawa 0.69,waist 26-hips 39 cm,badae napitia pitia google si nakuta vipimo kama vya kim,nilifurahijeee,no wonder nikimgeza kim i always look fabulous,...dadaa jipime na wew ur curves ujue unafanana na celeb gan ikusaidie kwenye choice ya viwalo vinavomtoa ili upendeze zaidiii na kuwa classic....

weka picha tukuone
kama kweli tunakupa deal matangazo....
 
heheheh,pic nevrr,ila hint ndo hvo km kim..leta deal ya tangazo hlo af tuwasiliane vzur
 
Af me bado mgenii i dnt knw how to send pics o anythn...naomba muongozoo
and c'mon guys mbna uku tz girls got nice bodyshapes kim k ya kitoto,sasa picha ya nin wkt mnajua watoto tz wapo vzurii
 
Kim K,has always been my favourite fashionista of all times,kw wale mnaomjua na kumfatilia mikato yake internet na E! Kwny Keeping up with th kardashians nk. kiukwel anajua kupendezaa,kuanzia dresses,pencil skirts,long sleeved shirts and blouses,jeans na bikini js to mention few..sasa cku moja hom si nikaamua kujipima hips to waist ratio ikawa 0.69,waist 26-hips 39 cm,badae napitia pitia google si nakuta vipimo kama vya kim,nilifurahijeee,no wonder nikimgeza kim i always look fabulous,...dadaa jipime na wew ur curves ujue unafanana na celeb gan ikusaidie kwenye choice ya viwalo vinavomtoa ili upendeze zaidiii na kuwa classic....
Upo wapi wewe?maana nilivyo na crush na huyo mdada halafu kumbe clone ipo karibu(i presume uko somewhere in tz)nakutamanije!
 
Smwhr in Dar.....lakn jmn ujue shape ya kim sio kwmb ni extra ordinary,ipo sana tu..fame adds to her
 
mwee ,sipo uko...apo nmemuongelea her fashion side alone ooooh

Kama ni mrembo kama Kim mbona basi hatujakuona hata kwenye bongo movies?

Hata kwenye albam ya Diamond hii ya Ngololo alishindwa kukuchukua bana ukauze sura?Ahahahahahahahahahaha!I doubt an haya utuaambiayo hapa
 
Kama ni mrembo kama Kim mbona basi hatujakuona hata kwenye bongo movies?

Hata kwenye albam ya Diamond hii ya Ngololo alishindwa kukuchukua bana ukauze sura?Ahahahahahahahahahaha!I doubt an haya utuaambiayo hapa

kwn wasioenda kushiriki u'miss kw mfano,ni wote hawana sifa?‎؟‎ interest tu,sio kwamb ukipewa na muumba vtu vzur basi ndo iwe matatzo mjin,..ht we unajua
 
Hehehhhe....shughuliii,
tatzo picha nkijulikana atiii c itakuwa kashersheee
 
Back
Top Bottom