nafaka

nafaka

master_t

New Member
Joined
Jul 17, 2013
Posts
2
Reaction score
0
Watanzania wenzangu nina nafaka naziuza mchele super (wambea),alizet & karanga.vyote naziuza kwa jumla kama unaitaji nicheki no 0712 412 622
 
Kaka ingekua vizuri ututajie gharama watanzania wenzako kama mchele wa super kwa gunia ni sh ngap na upo eneo gani ili mtu aweza kufanya mahesabu na kuona kama kuna faida au lah?kua muwazi na watu hawatoangaika kukupigia simu na kuanza kubargain katika simu,fanya iwe rahisi ili mtu akikupigia simu akuambie tu nakuja kununua kiwango gan kwa sh flan.
 
Biashara za wabongo bhana!!
Aya ngoja waje maana ata bei naona mtapatana kwa simu au pm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom