Naenda kutafuta maisha Mbeya

Naenda kutafuta maisha Mbeya

Wakuu habari zenu,

Wakuu nimeamua kwenda kutafuta maisha Mbeya. Sina ninayemfahamu katika mkoa huo lakini nina imani maisha ya kule yatakuwa sio magumu kama ya Dar.

Nimejiandaa ki akili naamini nitafanikiwa katika safari yangu ya kuanzisha maisha mapya.

WanaJF mnaoishi huko naombeni ushauri wenu.
Karibu sana mkuu wenyeji tupo tutakuonesha vichochoro vyote vya kusaka shekeli
 
...bora ukaushe tu usiende;uzi tu unasuasua hivi,hiyo mijamaa itakuwa mibinafsi ya kufunguka fursa na changamoto zilizopo huko!
...ama wanakusubiri wakakuchune ngozi!
 
Back
Top Bottom