Maisha ni freewheel KILA mtu na bahati yake.Unachoshindwa wewe mwingine ataweza, inategemea na nyota yakeukute unayempa moyo unakufa na tai yako shingoni
buza wanapokea wageni vizuri sana[emoji1]Njoo hadi Buza shuka kwa mpalange
chukua hiiukifika jichanganye ktk miradi ya makampuni ya ujenzi' anza kupiga kazi za kibarua baadae utapata ujuzi, ndani ya iyo kampuni' kama operator wa roller, scavator, wheelroader, dozier, driver, electrician, carpenter, steelfixer, scaffolder na vingine vingi, kama, safety controller hivyo vyote unavijulia ukiwa kama kibarua.
Ushauri wa bure,watu wa dar wanapenda kahawa,andaa birikq la bati,jiko saizi ya birikq,kiatu katambuka kuzunguka na birika la kahawa,vinginevyo utafika mahali utembee peku.bila kusahau bajeti ya mkaa na bidhaa yenyewe/kahawa 😄Kwa wazoefu wa jiji la Dar nina pesa ya nauli na ya kula tu kulala nitajua mbele kwa mbele pesa ya kula ipo ya wiki mbili kwa milo miwili tu kwa siku bajeti ya 2000 per day, naombeni direction
Wengi tu SAsa hivi Wana miliki maduka makubwa na nyumba mjini hapa walianza kwa kulala nje walitembea kwenye ndoto zao leo ni matajiri hadi nje wanaenda.
Kwani KILA mmoja aliyefanikiwa unajua background yake,au unadhani watu wanazaliwa na utajiri.acha uongo mkuu