kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,993
Kwa wazoefu wa jiji la Dar nina pesa ya nauli na ya kula tu kulala nitajua mbele kwa mbele pesa ya kula ipo ya wiki mbili kwa milo miwili tu kwa siku bajeti ya 2000 per day, naombeni direction
Unatafuta maisha unawaza kula Mara mbili....we nenda ukipata pa kulala jichanganye...kula weka ratiba uwe unakula SAA 11 moja tu asubuhi kunywa maji...omba maji kwa jirani yoyote..yasiwe ya kununua...yataongeza budgetKwa wazoefu wa jiji la Dar nina pesa ya nauli na ya kula tu kulala nitajua mbele kwa mbele pesa ya kula ipo ya wiki mbili kwa milo miwili tu kwa siku bajeti ya 2000 per day, naombeni direction
Unakuja kupinga dili gani?Unatafuta maisha unawaza kula Mara mbili....we nenda ukipata pa kulala jichanganye...kula weka ratiba uwe unakula SAA 11 moja tu asubuhi kunywa maji...omba maji kwa jirani yoyote..yasiwe ya kununua...yataongeza budget
Ajichanganye,kapesa kadogo ako akatafute hata vimtumba viwili aanze kuzurura kitaa kuuzaUnakuja kupinga dili gani?
dar hakuna maisha rudi kwenu tu kama mtaji unasua .tuliozaliwa dar tupo huko unapopakimbia
Mbaya weweUje na mbao.
Kwa ajili ya roba usiku.
Mchana deiwaka, usiku kibaka
dar hakuna maisha rudi kwenu tu kama mtaji unasua .tuliozaliwa dar tupo huko unapopakimbia