Naenda Arusha

Naenda Arusha

wewe ni ke au me? na unatokea sehemu gani? kama unatoka dar panda basi lolote lenye namba d,
kama mbeya kula new force. kama Karatu panda lacrome. kama Mwanza panda naj.kama Tanga panda tahmeed.kama Dom panda shabiby.
hoteli fikia am Marne Yale zipo za bei hizo na mjini unatumia miguu.
kwa Maelezo zaidi njoo inbox.
Me natokea Dar.
 
Apande Tahmeed Coach hatojutia safari yake, apande First Class nauli elfu 33,000/- Tu. Usafiri wa Uhakika alafu atuletee mrejesho.


Kilimanjaro Express ilikuwa zamani siyo sasa, kwa sasa ni Tahmeed pekee kwa route ya Kaskazini. Huyu jama hana mshindani na hajatokea
Sawa mkuu nitarudisha mrejesho
 
Kuna basi mpya Kabisa inaitwa EXTRA SAFARI hiyoo n nzuri mkuuu
 
smartphone. .....smartphone


unaumwa.......kichwa fb
mgongo...... instagram
tumbo...... viber
ukipanda ndege....whatsaap.

hahahaj Leo jamaa.kaja na Kali zaid niulize tu ,ulivyoenda kijijin kwenu ulisema tukushauri upande basi gani,au 7bu unaenda Arusha?
 
Kama wewe ni ke ingia pm ufikie kwangu. Sitakali umri wako kwani sina ubaguzi
 
Apande Tahmeed Coach hatojutia safari yake, apande First Class nauli elfu 33,000/- Tu. Usafiri wa Uhakika alafu atuletee mrejesho.


Kilimanjaro Express ilikuwa zamani siyo sasa, kwa sasa ni Tahmeed pekee kwa route ya Kaskazini. Huyu jama hana mshindani na hajatokea
Wewe bila shaka utakuwa muarabu
 
Karibu mabasi yote yanayoenda Arusha kutoka sehemu zote za nchi ni mazuri na hayana usumbufu ila hakuna hotel ya elfu 25000 ama 30000 Arusha japo kuna nyumba za wageni za hiyo bei kama Kutetere, monjes zote ama 6 to 8.
Unajua palson hotel ni 25,000 tu.
 
Tahmeed imejaa wakuu nimepanda Happy National
 
Back
Top Bottom