Naenda Arusha

Naenda Arusha

Karibu mabasi yote yanayoenda Arusha kutoka sehemu zote za nchi ni mazuri na hayana usumbufu ila hakuna hotel ya elfu 25000 ama 30000 Arusha japo kuna nyumba za wageni za hiyo bei kama Kutetere, monjes zote ama 6 to 8.
We jamaa unakaa maeneo ya makao mapya
 
wewe ni ke au me? na unatokea sehemu gani? kama unatoka dar panda basi lolote lenye namba d,
kama mbeya kula new force. kama Karatu panda lacrome. kama Mwanza panda naj.kama Tanga panda tahmeed.kama Dom panda shabiby.
hoteli fikia am Marne Yale zipo za bei hizo na mjini unatumia miguu.
kwa Maelezo zaidi njoo inbox.
Mkuu New force wanatoka Mbeya kuja Arusha siku hizi? Nilizoea Arusha Express tu
 
Basi zuri haswa la kutoka Dar kwenda Arusha ni KILIMANJARO EXPRESS. Nauli ni sh 33,000 tu kwa Daraja la kati na sh 36,000 kwa Daraja la Juu. Ni basi zuri lisilo na Usunbufu hata kidogo.
36k imekuwa ndege huwa napanda Ngorika 20k sa kumi na mbili asubuh Arusha au Dar sa naingia sa 7 mchana..
Kama nataka kuuza sura barabaran mpak giza Lim Safar 25k Ibra Line 25k..
Na Ibra au manning nice ndio napendelea kwenda nayo Mtwara 23k alafu wewe dada mhudumu wa ibra line inayoenda Dar-Masasi cjui nakupataji na numba zako nimepoteza nilikuhadi ntakuleta chuga tule maisha..
 
kama unapenda mazingira tulivu kama mimi fika lush garden ipo mtaa wa le jacaranda.
 
Jamani nasukuru nilifika salama Arusha nilipanda basi la Hai express
 
Back
Top Bottom