Nadharia mbili alizozi "prove wrong" Samia

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,743
Reaction score
6,237
1. Uongozi wa nchi wa waislam huwa na utulivu na upole, kabla ya Samia, tuliaminishwa kua akikaa kiongozi muislam nchi inakua tulivu na upole. Kumbe ni uongo bwana.

2. Tanzania ni kisiwa cha amani. Kwakweli the island of peace has Submaged, and dwellers are fighting for thier lives. Sasa Tanzania inajulikana kwa torture and brutality.

Thank you "mama". Na mimi ninafamilia wadau msinitafute.
 
Huyo anasumbuliwa na upemba, mbona haui wapemba anaua wabara zaidi
 
Nchi zingine wanaachwa.

Nafikiri Tanzania tumeingia kwenye rekodi.

Nchi ambayo ukisema hadharani kwamba unapinga utekaji unaweza ukakamatwa na polisi, kama una taasisi fulani inafutiwa usajili.
Nchi zingine siyo tanzania,kamwambie babaako hana akili bali matope
 
Yule dada wa Uganda Agatha, anasema hata wao Uganda wanatawaliwa kidikteta, lakini anasema Tanzania is worse.

Amefanya hizo kazi zake nchi nyingi lakini hajawahi kuona Impunity kubwa kama Tanzania.
Pole yake,naona walimtoa maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…