marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 968
- 1,695
HAKUNA NADHARIA TENA,mwaka huu Mjomba wa Muuwaji wa Tupac KEEFE D,amekiri chini ya immunity (KINGA ya kutokushitakiwa) kuwa mpwa wake Orlando Anderson ndiye fyatua risasi na kumuua Tupac siku ile ya pambano la Tyson!,anadai walikuwa wanne katika lile gari lililofanya mashambulizi kati yao 4,mpwa wake Orlando Anderson ndio alifyatua zile risasi,na miaka miwili baadaye naye Orlando aliuwawa kwa risasi pamoja na wenzake wawili waliokuwepo kwenye yale mauwaji,Keefe D yuko hai mpaka leo,kuna interview imetoka mwezi huu kutoka kwa DJ VLADTV link yake ipo chini hapa nimeweka kahojiwa MOB JAMES walinzi wamwanzo wa Suge Knight na Dealth Row kasimulia karibu kila kitu iangalie kwa makini ina masaa mawili then utapata ukweli wooteMwanamuziki wa michano 2pac alifariki baada ya kupigwa risasi tarehe 7/11/1996, Las Vegas USA akiwa na Umri 25.
Sasa toka hapo, kumekuwa na mijadala huku baadhi ya mashabiki na watu wa karibu wakiamini kwamba 2pac, hakufa yupo hai.
Huku baadhi ya mashabiki na watu wakaribu Wanaamini 2pac alifariki.
Wanaamini 2pac yupo hai kutokana na sababu Fulani ambazo Zina uthibitisho ndani yake.
Kuna video ilitolewaga na suge knight, rafiki wa 2pac, ikimwonesha yupo na 2pac na kusema 2pac yupo Cuba.
Pia mwaka Jana mtoto wa suge knight alionyesha video ya 2pac na kusema yupo Malaysia.
Wengine wanaamini 2pac alifake Kifo chake ndomana alitumia jina la Machiaveli, ambapo mwenye jina Hilo alikuwa Nicole Machiaveli ,ambaye nae alisha fake kifo chake na ukilichanganua jina hilo Lina maana " Am a live". Lakini kuna nadharia ambayo inasema kuwa 2pac alikufa kweli, na walitaka kumclone /copy lakini ilishindikana kwasababu Kifo chake kilikuwa hadharani.
Kwasababu hiyo, walitengeneza propaganda zaku aminisha watu kuwa yupo hai, kwa kutengeneza video na picha, na kuwatumia watu wa karibu na 2pac kusambaza video hizo, ili iwe rahisi kwa watu kuamini na kuwa attention na jambo hilo.
Hivyo ikitokea siku wakafanikisha lengo lao la kumludisha watu wasiwe na hoja kwasababu tayari walisha aminishwa .
Na hii plan inasemekana ilitengenezwa toka kipindi anakufa ndomana Mwili wa 2pac haukuzikwa, ulichomwa Moto na majivu yalimwagwa kwenye bustan ya stone mountain Georgia ,kwenye sanamu yake huku mengine yali vutwa Kama sigara na jamaa zake wa kundi la Killuminat.
Ili kufuta uthibitisho ndomana mpaka Leo hii hakuna kaburi la 2pac,ili kusudi watakapo mtengeneza mpya kusiwe na ushahidi wowote wa Kifo chake.View attachment 1096643
Haya yote ili iweje,Mwanamuziki wa michano 2pac alifariki baada ya kupigwa risasi tarehe 7/11/1996, Las Vegas USA akiwa na Umri 25.
Sasa toka hapo, kumekuwa na mijadala huku baadhi ya mashabiki na watu wa karibu wakiamini kwamba 2pac, hakufa yupo hai.
Huku baadhi ya mashabiki na watu wakaribu Wanaamini 2pac alifariki.
Wanaamini 2pac yupo hai kutokana na sababu Fulani ambazo Zina uthibitisho ndani yake.
Kuna video ilitolewaga na suge knight, rafiki wa 2pac, ikimwonesha yupo na 2pac na kusema 2pac yupo Cuba.
Pia mwaka Jana mtoto wa suge knight alionyesha video ya 2pac na kusema yupo Malaysia.
Wengine wanaamini 2pac alifake Kifo chake ndomana alitumia jina la Machiaveli, ambapo mwenye jina Hilo alikuwa Nicole Machiaveli ,ambaye nae alisha fake kifo chake na ukilichanganua jina hilo Lina maana " Am a live". Lakini kuna nadharia ambayo inasema kuwa 2pac alikufa kweli, na walitaka kumclone /copy lakini ilishindikana kwasababu Kifo chake kilikuwa hadharani.
Kwasababu hiyo, walitengeneza propaganda zaku aminisha watu kuwa yupo hai, kwa kutengeneza video na picha, na kuwatumia watu wa karibu na 2pac kusambaza video hizo, ili iwe rahisi kwa watu kuamini na kuwa attention na jambo hilo.
Hivyo ikitokea siku wakafanikisha lengo lao la kumludisha watu wasiwe na hoja kwasababu tayari walisha aminishwa .
Na hii plan inasemekana ilitengenezwa toka kipindi anakufa ndomana Mwili wa 2pac haukuzikwa, ulichomwa Moto na majivu yalimwagwa kwenye bustan ya stone mountain Georgia ,kwenye sanamu yake huku mengine yali vutwa Kama sigara na jamaa zake wa kundi la Killuminat.
Ili kufuta uthibitisho ndomana mpaka Leo hii hakuna kaburi la 2pac,ili kusudi watakapo mtengeneza mpya kusiwe na ushahidi wowote wa Kifo chake.View attachment 1096643
We unaaminije mkuu alikufa au yupo hai??Mwanamuziki wa michano 2pac alifariki baada ya kupigwa risasi tarehe 7/11/1996, Las Vegas USA akiwa na Umri 25.
Sasa toka hapo, kumekuwa na mijadala huku baadhi ya mashabiki na watu wa karibu wakiamini kwamba 2pac, hakufa yupo hai.
Huku baadhi ya mashabiki na watu wakaribu Wanaamini 2pac alifariki.
Wanaamini 2pac yupo hai kutokana na sababu Fulani ambazo Zina uthibitisho ndani yake.
Kuna video ilitolewaga na suge knight, rafiki wa 2pac, ikimwonesha yupo na 2pac na kusema 2pac yupo Cuba.
Pia mwaka Jana mtoto wa suge knight alionyesha video ya 2pac na kusema yupo Malaysia.
Wengine wanaamini 2pac alifake Kifo chake ndomana alitumia jina la Machiaveli, ambapo mwenye jina Hilo alikuwa Nicole Machiaveli ,ambaye nae alisha fake kifo chake na ukilichanganua jina hilo Lina maana " Am a live". Lakini kuna nadharia ambayo inasema kuwa 2pac alikufa kweli, na walitaka kumclone /copy lakini ilishindikana kwasababu Kifo chake kilikuwa hadharani.
Kwasababu hiyo, walitengeneza propaganda zaku aminisha watu kuwa yupo hai, kwa kutengeneza video na picha, na kuwatumia watu wa karibu na 2pac kusambaza video hizo, ili iwe rahisi kwa watu kuamini na kuwa attention na jambo hilo.
Hivyo ikitokea siku wakafanikisha lengo lao la kumludisha watu wasiwe na hoja kwasababu tayari walisha aminishwa .
Na hii plan inasemekana ilitengenezwa toka kipindi anakufa ndomana Mwili wa 2pac haukuzikwa, ulichomwa Moto na majivu yalimwagwa kwenye bustan ya stone mountain Georgia ,kwenye sanamu yake huku mengine yali vutwa Kama sigara na jamaa zake wa kundi la Killuminat.
Ili kufuta uthibitisho ndomana mpaka Leo hii hakuna kaburi la 2pac,ili kusudi watakapo mtengeneza mpya kusiwe na ushahidi wowote wa Kifo chake.View attachment 1096643
noma sanaaaMwanamuziki wa michano 2pac alifariki baada ya kupigwa risasi tarehe 7/11/1996, Las Vegas USA akiwa na Umri 25.
Sasa toka hapo, kumekuwa na mijadala huku baadhi ya mashabiki na watu wa karibu wakiamini kwamba 2pac, hakufa yupo hai.
Huku baadhi ya mashabiki na watu wakaribu Wanaamini 2pac alifariki.
Wanaamini 2pac yupo hai kutokana na sababu Fulani ambazo Zina uthibitisho ndani yake.
Kuna video ilitolewaga na suge knight, rafiki wa 2pac, ikimwonesha yupo na 2pac na kusema 2pac yupo Cuba.
Pia mwaka Jana mtoto wa suge knight alionyesha video ya 2pac na kusema yupo Malaysia.
Wengine wanaamini 2pac alifake Kifo chake ndomana alitumia jina la Machiaveli, ambapo mwenye jina Hilo alikuwa Nicole Machiaveli ,ambaye nae alisha fake kifo chake na ukilichanganua jina hilo Lina maana " Am a live". Lakini kuna nadharia ambayo inasema kuwa 2pac alikufa kweli, na walitaka kumclone /copy lakini ilishindikana kwasababu Kifo chake kilikuwa hadharani.
Kwasababu hiyo, walitengeneza propaganda zaku aminisha watu kuwa yupo hai, kwa kutengeneza video na picha, na kuwatumia watu wa karibu na 2pac kusambaza video hizo, ili iwe rahisi kwa watu kuamini na kuwa attention na jambo hilo.
Hivyo ikitokea siku wakafanikisha lengo lao la kumludisha watu wasiwe na hoja kwasababu tayari walisha aminishwa .
Na hii plan inasemekana ilitengenezwa toka kipindi anakufa ndomana Mwili wa 2pac haukuzikwa, ulichomwa Moto na majivu yalimwagwa kwenye bustan ya stone mountain Georgia ,kwenye sanamu yake huku mengine yali vutwa Kama sigara na jamaa zake wa kundi la Killuminat.
Ili kufuta uthibitisho ndomana mpaka Leo hii hakuna kaburi la 2pac,ili kusudi watakapo mtengeneza mpya kusiwe na ushahidi wowote wa Kifo chake.View attachment 1096643