Yaani niliposoma tu hili tangazo lako, moyo wangu woteee umekufa juu yako! nimekuzimikia jumla, nahisi una mapenzi ya kweli na unajiamini. Tatizo katika karne hii ya digital tutaishije bila king'amuzi, gari, nyumba, elimu dunia, loooooo niko njia panda.