Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
Jamani tumfanye na Rais asomage humu mara moja moja kwa kuchombeza yale mazuri anayoendelea kufanya katika jamii yetu
Hapana shaka kwa hili hatutamsahau Rais wetu, ni mtu anayependa sana kuhudhuria katika masuala ya jamii hususan ni MISIBA, kutembelea wagonjwa, majanga (of course hili ni jukumu though optional) nk
Big Up kwa hili Kiongozi!!!
Ningeomba na mimi ukanikumbukage nitakaposinzia milele mkuu!!!
Amavubi-jf
Hapana shaka kwa hili hatutamsahau Rais wetu, ni mtu anayependa sana kuhudhuria katika masuala ya jamii hususan ni MISIBA, kutembelea wagonjwa, majanga (of course hili ni jukumu though optional) nk
Big Up kwa hili Kiongozi!!!
Ningeomba na mimi ukanikumbukage nitakaposinzia milele mkuu!!!
Amavubi-jf