Nadhan EATV inahitaji Marketing Manager mpya

Nadhan EATV inahitaji Marketing Manager mpya

Niccolo Machiavelli

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
1,881
Reaction score
3,657
Kama kickwa cha habari kinavojieleza.Tunaona TV kama Clouds imechukua nafasi ya kwanza ambayo ilkua inamilikiwa na EATV kwa muda mrefu.Kitaani masela tulikua tunachek sana FNL mida ya Ijumaa ila sasa mtaa mzima ni Shilawadu ya Clouds TV. Baada ya muda mfupi naona TV-E itachukua nafasi ya pili na EATV kuchua nafasi ya 3 nakuendelea kushuka kama Marketing Manager mpya hatopatikana.
N.B: Mtazamo wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wengi hawafanyi kazi, wengi wanapenda umbea na ndio maana hicho kipindi kikaitwa shirika la wambea duniani
 
EATV ni habari nyingine lakini.... wajiongeze na wao waje DSTV
 
EATV ipo vizuri zaidi ya Clouds...

Hata FNL ipo poa zidi kuliko hicho kipindi sijui unasema kinaitwa Shilawadu...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom