Hili baraza kwa kushirikiana na Wizara ya Afya mmeonesha udhaifu mkubwa katika zoezi la mitihani ambayo tunasikia tu fununu itafanyika mwezi huu tarehe 15
Je, mmeshindwa nini kutoa ratiba hadi sasa?Je, hamuwezi kijifunza kwa Necta wao ratiba inatoka miezi sita kabla ya mitihani?
Mnavyofanya ni sawa kabisa na wanafunzi wenu walivyo. Asilimia kubwa ya wanafunzi wenu ni hovyo sana.
Je, mmeshindwa nini kutoa ratiba hadi sasa?Je, hamuwezi kijifunza kwa Necta wao ratiba inatoka miezi sita kabla ya mitihani?
Mnavyofanya ni sawa kabisa na wanafunzi wenu walivyo. Asilimia kubwa ya wanafunzi wenu ni hovyo sana.