itakua ni tatizo la kimtandaoHabar zenu jaman..nacte wanataka nini wanaponiambia ni re upload cheti changu na transcript?? Na nimefanya hvyo zaid ya malamoja lkn natumiwa email nikiambiwa ni upload...shida ipo wapi? msaada pls
Akufukuzae hakwambii tokaHabar zenu jaman..nacte wanataka nini wanaponiambia ni re upload cheti changu na transcript?? Na nimefanya hvyo zaid ya malamoja lkn natumiwa email nikiambiwa ni upload...shida ipo wapi? msaada pls
Je ulituma kwenye faili moja la pdf?
Mwaka 2014Umemaliza diploma mwaka gan?
Ninachofahamu unavyo omba kupitua nacte hakuna attachment yoyote zaidi ya number za form fourMwaka 2014
Ninachofahamu unavyo omba kupitua nacte hakuna attachment yoyote zaidi ya number za form four