NACTE turudishieni pesa zetu

NACTE turudishieni pesa zetu

ibinadam0442

Member
Joined
Aug 24, 2016
Posts
9
Reaction score
3
Hawa jamaa inabidi warudishe pesa zetu kama vigezo vya kujiunga na Bachelor tulikosa haliakuwa tulifanya application mwezi wa Tano wakati GPA ilikuwa 2.7 na guide book ilikuwa inaonyesha hvyo na selection zimetoka tumekosa vyuo si warudishe pesa zetu.Dhuluma hii kama nacte wangekuwa wana msimamo wangepaswa ku stick na GPA ile ile ya kwanza...wametupotezea muda kwa kweli toka mwezi wa tano..?
 
sema nini hawajamaa inabidi warudishe pesa zetu kama vigezo vya kujiunga na Bachelor tulikosa haliakuwa tuli fanya application mwezi wa Tano wakati GPA ilikuwa 2.7 na guide book ilikuwa inaonyesha hvyo na selection zimetoka tumekosa vyuo si warudishe pesa zetu.Dhuluma hii kama nacte wangekuwa wana msimamo wangepaswa ku stick na GPA ile ile ya kwanza...wametupotezea muda kwa kweli toka mwezi wa tano..?
ULISHALIWA CCM MATAPELI
 
Kazi ipo
Kumbuka inaandikwaga "fee not refundable"
Ndo ushaliwa

Sawa not refundable ila pia na wao ilitakiwa watumie vigezo vyao vilevile na sio kubadilika

Mpaka watu wanafiki hatua ya kulipia it means wameelewa na wamekubaliana na terms kwa muda huo

Sasa zikibadilishwa inakuwa kesi nyingine na inatakiwa warudishe kweli zile pesa
 
Non refundable .......uwe mwelewa basi dogo
 
Non refundable .......uwe mwelewa basi dogo
Wewe ndiyo siyo muelewa, kama vigezo vilibadilishwa baada ya watu kuwa wameshatuma maombi kwa kutumia vigezo elekezi vya awali wana haki ya kurudishiwa pesa yao.
Hiyo non refundable ina- work pale ambapo vigezo na masharti vimezingatiwa.
 
Hawarudishagi wao ni one way no traffic at all
 
Non refundable .......uwe mwelewa basi dogo
Wewe ndio unatakiwa kuelewa. NACTE wame-bleach the agreement, kwamba ile fee ni non-refundable iwapo tu mambo yote yaliyoanishwa yatafanyika sawa, na si vingine!
 
Kisheria Kwa mfano Mtu Alitenda Kosa Mwezi wa Kwanza Mwaka Huu Na Kesi Ikaanza Kusikilizwa Mahakamani Mwezi wa pili Na Kulingana na Kesi Akikutwa na Hatia Ni Miaka Miwili Sasa ilipofika Mwezi watatu Sheria ikabadilika Mtu Akitenda Kosa Kama Hilo Ni Kifungo Cha Miaka Mitatu....Je Akikutwa Na Hatia Itatumika Sheria iliyopita Au Ya Zamani?
 
Pale ustawi wa jamii nilimlipia mdogo wangu 50,000/- ya kuomba ustawi ...wakasema ukitaka kuomba vyuo zaidi inabidi uongeze 32,000/- kwa iyo baada ya serikali kubadilisha magoli na kubana wamenila 82,000/- malipo halali!!
 
Pale ustawi wa jamii nilimlipia mdogo wangu 50,000/- ya kuomba ustawi ...wakasema ukitaka kuomba vyuo zaidi inabidi uongeze 32,000/- kwa iyo baada ya serikali kubadilisha magoli na kubana wamenila 82,000/- malipo halali!!

Pole sana ndungu. Lkn maelekezo hayakusema hivyo ilikuwaje ukacha kufafuata na kwenda kutapeliwa?
 
diploma chali mngefanya kama udsm ahaaa mngedahiliwa muda na gpa yenu hiyo 2.7
 
NACTE watabuluzwa Mahakamani sababu Tangazo waliotoa kipindi Kile Ni GPA 2.7 na watu waliomba kupitia Tangazo hilo mpaka mwisho wa kutuma maombi alafu baada ya mwezi mmoja unatangaza lile Tangazo ni batili kwahiyo Hamna Sifa Hapana NACTE wanayo kesi ya kujibu nchi hii haiendeshwi kifalme inaendeshwa kwa mujibu wa sheria kwa kufuatwa Haki Hawawezi kupotezea watu muda wazungu wanasema Time Is Money
 
NACTE watabuluzwa Mahakamani sababu Tangazo waliotoa kipindi Kile Ni GPA 2.7 na watu waliomba kupitia Tangazo hilo mpaka mwisho wa kutuma maombi alafu baada ya mwezi mmoja unatangaza lile Tangazo ni batili kwahiyo Hamna Sifa Hapana NACTE wanayo kesi ya kujibu nchi hii haiendeshwi kifalme inaendeshwa kwa mujibu wa sheria kwa kufuatwa Haki Hawawezi kupotezea watu muda wazungu wanasema Time Is Money

Lkn si walisema watawarudishia au mwenzetu unataka matangazo waweke humu. Watu wasio na vigezo bwana ni shida! Hebu tafuta mada zingine hii ilisha pitwa na wakati.
 
kama ukuwahi kurisiti basi wahi chapu ukarisiti diploma yako upate gpa ya 3 usonge mbele omba ndalichako ajiuzulu uwaziri mana tofauti na hapo subili 2025 utasoma degree yako kwa gpa ya 2.7
 
Wewe ndio unatakiwa kuelewa. NACTE wame-bleach the agreement, kwamba ile fee ni non-refundable iwapo tu mambo yote yaliyoanishwa yatafanyika sawa, na si vingine!

Sheria inarudi nyuma au inaenda mbele?
 
Kisheria Kwa mfano Mtu Alitenda Kosa Mwezi wa Kwanza Mwaka Huu Na Kesi Ikaanza Kusikilizwa Mahakamani Mwezi wa pili Na Kulingana na Kesi Akikutwa na Hatia Ni Miaka Miwili Sasa ilipofika Mwezi watatu Sheria ikabadilika Mtu Akitenda Kosa Kama Hilo Ni Kifungo Cha Miaka Mitatu....Je Akikutwa Na Hatia Itatumika Sheria iliyopita Au Ya Zamani?

Sheria hairudi nyuma...inareact kuanzia muda ilipotungwa ...hawez kuachiwa huru ataendelea kukaa jela mpaka muda wa kifungo utakapoisha au asubiri msamaha wa Rais
 
Lkn si walisema watawarudishia au mwenzetu unataka matangazo waweke humu. Watu wasio na vigezo bwana ni shida! Hebu tafuta mada zingine hii ilisha pitwa na wakati.
watawarudishia lini? kama una vigezo mshukuru Mungu wako na sio kuonyesha dharau hapa, aliekupa hivyo vigezo wewe ndo huyo huyo kawanyima wenzio! usijione ndio tayari ushawini maisha, unaweza ukafika chuo mwaka wa kwanza tu ukaliwa kichwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom