NACTE rudisheni March intake

NACTE rudisheni March intake

jiwe angavu

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
21,774
Reaction score
42,030
Wakuu habari

Mwaka jana mwishoni baraza la elimu ya ufundi..ilitoa waraka wakusitisha udahiri wa mwezi wa 3 kila mwaka..kwa sababu rukuki zisizo na mashiko.

Kimsingi uamuzi huu haulisaidii taifa hasa wazazi na vijana..wanaotamani kujiendeleze...unakuta mtoto kamaliza 4m4 mwezi wa10..asubiri kwenda kujiunga na masomo ya afya mwezi wa 10 mwaka unaofuta huu muda wote awepo tu nyumbani.

Hii si sawa..itapelekea kuibuka kwa mambo ya siyo natija katika jamii mwaka mzima mtoto kupoteza akiwa nyumbani ni hasara.

Hivyo basi tunaomba waziri wa elimu utusaidie katika hili..mana sababu za baraza zinaonyesha ni kutoshindwa kutereleza majukumu yao ya msingi.

Udahiri wa mwezi wa tatu urudishwe.

By mzazi mpenda elimu

Mungu ibariki Tanganyika

#MaendeleoHayanaChama

Screenshot_20220129-004919_Drive.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkeo hataki mashemeji mawifi zake kwani shidann mwambie atulie aachana na mikwara au kwakua wadogo zake wameshaenda shule. Na bado umelipa gharama wewe..wazazi wanakuomba hela zakulimia hautaki kutoa eti familia kubwa.....
 
mkeo hataki mashemeji mawifi zake kwani shidann mwambie atulie aachana na mikwara au kwakua wadogo zake wameshaenda shule. Na bado umelipa gharama wewe..wazazi wanakuomba hela zakulimia hautaki kutoa eti familia kubwa.....
Kwani mke si mwili mmoja..shida iko wapi..sema madogo wana kaa mwaka home..haipendezi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nimesoma hizo sababu za kusitisha March intake,sababu ni za msingi Sana,wako sahihi.
 
Wakuu habari

Mwaka jana mwishoni baraza la elimu ya ufundi..ilitoa waraka wakusitisha udahiri wa mwezi wa 3 kila mwaka..kwa sababu rukuki zisizo na mashiko.

Kimsingi uamuzi huu haulisaidii taifa hasa wazazi na vijana..wanaotamani kujiendeleze...unakuta mtoto kamaliza 4m4 mwezi wa10..asubiri kwenda kujiunga na masomo ya afya mwezi wa 10 mwaka unaofuta huu muda wote awepo tu nyumbani.

Hii si sawa..itapelekea kuibuka kwa mambo ya siyo natija katika jamii mwaka mzima mtoto kupoteza akiwa nyumbani ni hasara.

Hivyo basi tunaomba waziri wa elimu utusaidie katika hili..mana sababu za baraza zinaonyesha ni kutoshindwa kutereleza majukumu yao ya msingi.

Udahiri wa mwezi wa tatu urudishwe.

By mzazi mpenda elimu

Mungu ibariki Tanganyika

#MaendeleoHayanaChama

View attachment 2098972

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu March intake wameirudisha.Nimeona kwenye calenders yao ya important events for 2022/2023. Angalia kwenye tovuti yao.
 
Mkuu March intake wameirudisha.Nimeona kwenye calenders yao ya important events for 2022/2023. Angalia kwenye tovuti yao.
Yaah..wamefanya vyema sana..vijana walikua wanakaa mtaaani muda mrefu sana.

#MaendeleoHayanaChama
Screenshot_20220710-103916_Drive.jpg
 
Yaah..wamefanya vyema sana..vijana walikua wanakaa mtaaani muda mrefu sana.

#MaendeleoHayanaChama View attachment 2286015
Mkuu salute unafuatilia Sana.

Naomba niulize swala Maja hapa.
Kuna mtoto wangu ameomba September intake, hivyo Nina access ya kupitia tovuti ya NACTVET naona Kuna waombaji wengi Sana Sasa najiuliza hivi si nafasi zitajaa? Hiyo March intake itakuwaje?
2.Sababu zilizo tolewa na NACTVET kufuta March intake, wameona kwa Sasa changamoto zile zimekwisha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom