NACTE on Air!!!! lakin siwaelewi...

NACTE on Air!!!! lakin siwaelewi...

sasa hao waliokuwa selected wako wap mbona hawajatoa? kiukweli hawa nacte wanazingua wanatuonyeshaje nafasi zilizobaki kabla ya kutuonyesha watu waliokuwa selected?
Selection nacte zinafanyika through profile kama mm niliaply from march but juzi ndio nimekuta selected but chuo hawajanionesha
1474280782234.png
 
IIla nadhani kama wote (diploma holders) tuliaplly kipindi kile kupitia nacte (kabla ya matokeo ya form six) na profile zetu zinaonyesha tofauti basi inawezekana wale wanaoiona ile option ya 'view choosen program' na wakaweza kuview machaguo yao wakawa wamekosa selection na wale wasiyoiona hiyo option wakawa wamepata au ikawa kinyume chake...
Aisee tusubiri tuone mkuu maana naona wanazingua hawa alaf vyuo kama dit na must vishaa jaa man yan kama wakisema ni ku reapply itakuwa ni kwere kichz man
 
Hakuna kitu kama hicho tusidanganyane mana wanaoview program zao capacity ya vyuo inaonesha 0 inamaana watu wameshachaguliwa ila nacte hawajarelease
 
Nying ambazo hazifunguki ni vizur mfuatilie Hilo tatizo LA kutokuview selection
 
Huyo aliyekua selected nahis ni wa diploma hakuna wa degree aliyepata selection
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom