Alexander McQueen
Senior Member
- Aug 30, 2016
- 186
- 41
Selection nacte zinafanyika through profile kama mm niliaply from march but juzi ndio nimekuta selected but chuo hawajanioneshasasa hao waliokuwa selected wako wap mbona hawajatoa? kiukweli hawa nacte wanazingua wanatuonyeshaje nafasi zilizobaki kabla ya kutuonyesha watu waliokuwa selected?