mashishanga
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 611
- 429
Mi mwenyewe nikiingia kwenye profile nakuta vyuo vyote wameniwekea kapacity zero kasoro chuo kimoja tu wameniwekea capacity 8 kwa muonekano huo tayar nacte wameshafanya selection afu Hakuna taarifa yeyote na hata ukiangalia waliochagua priority ya kwanza had ya tano namba zimepungua hivyo inaonesha wameshawachagua