Wakuu profile zetu kwa watu wa diploma zinafunguka hadi kwenye view choosen programs lakini sielewi elewi maana niki-view program katika vyuo nilivyochagua nakuta baadhi ya program admission capacity hakuna na nyingine zimebaki chache as if natakiwa nichague upya!!!!! Pitieni profile zenu then mlete mrejesho, profile yangu inaonekana kama ilivyo kwenye screenshot hapo chini..