26 number
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 337
- 133
Jamani wana JF naomba kuuliza,naona kuna watu wadiploma wamechaguliwa kujiunga degree kwa mfano chuo Kama UDSM NA IFM,na Yale majina yametolewa na tcu,na sisi wa diploma tuliomba kupitia nacte,Je?zile capacity za watu wanaoitajika kwenye program filani zitakua ni zile zile au zitapugua kwakua tayari wameshachukuliwa wa diploma?mfano food science wamechukuliwa 3 UDSM na capacity kwa watu wa diploma ilikua watu10 Je?itakua ile ile kwakua nacte wao awajatoa au ndo zitabaki 7?