Waziri wa Elimu simamia utawala katika vyuo. Wanafunzi wanaumizwa na elimu inaanguka!

robinson crusoe

JF-Expert Member
Oct 22, 2020
740
1,214
VETA, NACTE na TCU ni vyombo ndani ya wizara hii. Kulikuwa na malalamiko na matukio ya wanafunzi kunyanyaswa kingono. UDOM na Uhasibu Arusha vimekuwa ni mfano wa wazi.

Hata hivyo hatujasikia Wizara ikisema lolote juu ya matukio kama hayo pamoja na jamii kuyasikia tena na tena!

Nimefanya mahojiano na baadhi ya wanafunzi na hata waliomaliza ktk vyuo vya: UDSM, SUA, St. Augustine-mwanza, CBE, IRDP na Uyole-Mbeya na Ukiriguru-Mwanza. Hali siyo nzuri kwa vyuo vya certificates na diplomas. Tishio kubwa ni marks za mitihani! Yaonekana marks ni za bandia kutegemea uhusiano wao na waalimu au uzem,be wa mwalimu.

Nimepata majibu mengi lakini klwa kila chuo kuna jibu lililotia fora.

UDSM: Wanafunzi wanadekeza mtindo huo nadhani kwa utu uzima wao wako kwenye umri wa mahusiano, lakini kuna kozi marks zinagawiwa tu!

SUA: Mahusiano yapo kwa baadhi ya waalimu lakini hata wanafunzi wanayatafuta nje ya chuo

St. Augustine-mwanza: Wanaogopa mambo ya nidhamu tu, lakini mitaani wanakutana sana!

CBE-Dodoma: Hakuna shule serious. Watu wanakuja kuchukuwa vyeti na waalimu wamefanya ni jambo la kawaida kabisa kutoa marks tu! Wanafunzi wanashindana kupata waalimu.

IRDP-Dodoma: Hakuna shule serious na kuna waalimu ambao mahusiano ni sehemu kubwa ya kazi yao kuliko hata kufundisha. Wanafunzi wanapangishiwa na walimu wao mitaani.

Tengeru-Arusha: Hali iko kawaida. Utawala unakomaa sana na matukio ya wanafunzi.

Ukiriguru-Mwanza: Hapo utawala haujali kabisa. Walimu wanajifanyia wanachotaka, ni masela tu. Marafiki wanapata marks nzuri.
 
Ila bhana IRDP na CBE munasifika kwa uozo. Yaani hapa Dodoma ni kama ngono pia ni sehemu ya somo kuu la vyuo vyenu.

Nahisi kuna uzembe wa kiutawala. Vyuo hivi vinasimamiwa na Wizara ya elimu kwa ubora, lakini waalimu na viongozi wa vyuo wako wizara tofauti.

Sasa huyu waziri ana hali ngumu maana usikute wizara ya Kilimo, mfano, inaleta mtu ambaye ni mpuuzi tu, ili awe mkuu wa chuo.
 
Utawala wa vyuo vikuu ni hovyo sanaaa hasa UDOM ila sasa ngazi za juu hazijui kama vyuo wanavyoviongoza vipo katika hali hiyo maana hawana desturi ya kushuka chini na kusikia kero za Wataalam hao wanaopikwa.

Ni vyema mamlaka ziende kuzungumza na wanafunzi, lakini Shule kuu ya Sheria UDOM iundiwe tume kabisa kuna michezo mingi na ya aibu.
 
Utawala wa vyuo vikuu ni hovyo sanaaa hasa UDOM ila sasa ngazi za juu hazijui kama vyuo wanavyoviongoza vipo katika hali hiyo maana hawana desturi ya kushuka chini na kusikia kero za Wataalam hao wanaopikwa.

Ni vyema mamlaka ziende kuzungumza na wanafunzi, lakini Shule kuu ya Sheria UDOM iundiwe tume kabisa kuna michezo mingi na ya aibu.
Tatizo pia kama ulivyosikia UDOM, u-hovyo wao wahusika wanautumia kupata digrii za kuandikiwa tu!
 
Swala la;

● Wanafunzi kulala hostel kitanda kimoja watu 3 bila kulipa, hasa UDSM pale Magufuli Hostels. Analipa mwanafunzi mmoja hostel halafu anabeba wenzake 2 wanahamia.

● Na wanafunzi kugeuza hostel kama madanguro ya kujiuzia.

● Wanafunzi kutoa hongo za mwili kwa walimu.

Waziri afanye ukaguzi endelevu ajionee walimu na wanafunzi wanavyo haribu elimu yetu. UDSM kumeozaaaa!!!
 
VETA, NACTE na TCU ni vyombo ndani ya wizara hii. Kulikuwa na malalamiko na matukio ya wanafunzi kunyanyaswa kingono. UDOM na Uhasibu Arusha vimekuwa ni mfano wa wazi. Hata hivyo hatujasikia Wizara ikisema lolote juu ya matukio kama hayo pamoja na jamii kuyasikia tena na tena!

Nimefanya mahojiano na baadhi ya wanafunzi na hata waliomaliza ktk vyuo vya: UDSM, SUA, St. Augustine-mwanza, CBE, IRDP na Uyole-Mbeya na Ukiriguru-Mwanza. Hali siyo nzuri kwa vyuo vya certificates na diplomas. Tishio kubwa ni marks za mitihani! Yaonekana marks ni za bandia kutegemea uhusiano wao na waalimu au uzem,be wa mwalimu.

Nimepata majibu mengi lakini klwa kila chuo kuna jibu lililotia fora.

UDSM: Wanafunzi wanadekeza mtindo huo nadhani kwa utu uzima wao wako kwenye umri wa mahusiano, lakini kuna kozi marks zinagawiwa tu!

SUA: Mahusiano yapo kwa baadhi ya waalimu lakini hata wanafunzi wanayatafuta nje ya chuo

St. Augustine-mwanza: Wanaogopa mambo ya nidhamu tu, lakini mitaani wanakutana sana!

CBE-Dodoma: Hakuna shule serious. Watu wanakuja kuchukuwa vyeti na waalimu wamefanya ni jambo la kawaida kabisa kutoa marks tu! Wanafunzi wanashindana kupata waalimu.

IRDP-Dodoma: Hakuna shule serious na kuna waalimu ambao mahusiano ni sehemu kubwa ya kazi yao kuliko hata kufundisha. Wanafunzi wanapangishiwa na walimu wao mitaani.

Tengeru-Arusha: Hali iko kawaida. Utawala unakomaa sana na matukio ya wanafunzi.

Ukiriguru-Mwanza: Hapo utawala haujali kabisa. Walimu wanajifanyia wanachotaka, ni masela tu. Marafiki wanapata marks nzuri.
Jf ilikua zamani saivi mada hazna ushawishi kwa wasomaji
 
Umeandika kama Fatuma Kalume wakati akitetea Mashoga na miili yao, ni wewe?
Lugha uliyotumia, naiona jukwaa la mapenzi ingia kule andika lolote la ngono
Nahisi wewe ni mmoja wa waalimu wa IRDP waliosifika kwa ngono na wanafunzi wao, au?
😂😂😂😂Kaandika Kam anachamba na sio kufikisha ujumbe kwa jamii na Taasisi husika
 
VETA, NACTE na TCU ni vyombo ndani ya wizara hii. Kulikuwa na malalamiko na matukio ya wanafunzi kunyanyaswa kingono. UDOM na Uhasibu Arusha vimekuwa ni mfano wa wazi. Hata hivyo hatujasikia Wizara ikisema lolote juu ya matukio kama hayo pamoja na jamii kuyasikia tena na tena!

Nimefanya mahojiano na baadhi ya wanafunzi na hata waliomaliza ktk vyuo vya: UDSM, SUA, St. Augustine-mwanza, CBE, IRDP na Uyole-Mbeya na Ukiriguru-Mwanza. Hali siyo nzuri kwa vyuo vya certificates na diplomas. Tishio kubwa ni marks za mitihani! Yaonekana marks ni za bandia kutegemea uhusiano wao na waalimu au uzem,be wa mwalimu.

Nimepata majibu mengi lakini klwa kila chuo kuna jibu lililotia fora.

UDSM: Wanafunzi wanadekeza mtindo huo nadhani kwa utu uzima wao wako kwenye umri wa mahusiano, lakini kuna kozi marks zinagawiwa tu!

SUA: Mahusiano yapo kwa baadhi ya waalimu lakini hata wanafunzi wanayatafuta nje ya chuo

St. Augustine-mwanza: Wanaogopa mambo ya nidhamu tu, lakini mitaani wanakutana sana!

CBE-Dodoma: Hakuna shule serious. Watu wanakuja kuchukuwa vyeti na waalimu wamefanya ni jambo la kawaida kabisa kutoa marks tu! Wanafunzi wanashindana kupata waalimu.

IRDP-Dodoma: Hakuna shule serious na kuna waalimu ambao mahusiano ni sehemu kubwa ya kazi yao kuliko hata kufundisha. Wanafunzi wanapangishiwa na walimu wao mitaani.

Tengeru-Arusha: Hali iko kawaida. Utawala unakomaa sana na matukio ya wanafunzi.

Ukiriguru-Mwanza: Hapo utawala haujali kabisa. Walimu wanajifanyia wanachotaka, ni masela tu. Marafiki wanapata marks nzuri.
Waziri wa elimu ili kuthibiti hali hii ninakushauri uunde bodi ya kudumu ya kusahihisha mitihani yote ya elimu ya juu ambayo itakuwa inahusika mitihani hiyo kwa panel.

Mfano mwenge catholic university wanasahihisha mitihani kwa panel .

Hakuna biashara ya ngono kule.
 
Umeandika kama Fatuma Kalume wakati akitetea Mashoga na miili yao, ni wewe?
Lugha uliyotumia, naiona jukwaa la mapenzi ingia kule andika lolote la ngono
Nahisi wewe ni mmoja wa waalimu wa IRDP waliosifika kwa ngono na wanafunzi wao, au?
Mtanyooka tuu
 
Ukitaka hili litokee lazima kuwe na mtaala mmoja kwa vyuo vikuu vyote.

Na ikishafikia hapa hizi zitakuwa sekondari.

Nakubali kwamba kuna tatizo, ila njia sahihi ni k hii kuimarisha sheria za vyuo husika ili wale wanaozinajisi ziwaume vizuri.

Waziri wa Elimu Ili kuthibiti hali hii ninakushauri uunde bodi ya kudumu ya kusahihisha mitihani yote ya Elimu ya juu ambayo itakuwa inahusika mitihani hiyo kwa panel.​

Mfano mwenge catholic university wanasahihisha mitihani kwa panel . Hakuna biashara ya ngono kule.​

 
Ukitaka hili litokee lazima kuwe na mtaala mmoja kwa vyuo vikuu vyote. Na ikishafikia hapa hizi zitakuwa sekondari. Nakubali kwamba kuna tatizo, ila njia sahihi ni k hii kuimarisha sheria za vyuo husika ili wale wanaozinajisi ziwaume vizuri.
Hakuna cha mtaala mmoja. Kila chuo kinatoa walimu wake kulingana na somo lililopo kwenda kuingia kwenye panel ya usahihishaiji.

Mambo ya sasa mwalimu anakwenda kujifungia chumbani kusahihisha karatasi Za mwanafunzi wa chuo kikuu zimepitwa na wakati bro.
 

Waziri wa Elimu Ili kuthibiti hali hii ninakushauri uunde bodi ya kudumu ya kusahihisha mitihani yote ya Elimu ya juu ambayo itakuwa inahusika mitihani hiyo kwa panel.​

Mfano mwenge catholic university wanasahihisha mitihani kwa panel . Hakuna biashara ya ngono kule.​

MMmmmh! hiyo nayo ni ngumu. ukitaka kusahihisha mitihani kwa mtindo huo, lazima aina ya maswali iwe kama ya form 4 na 6. Hapa ni vyuo.

Maelezo ya thrd yanasikitisha sana maana ukiangalia kiundani vyuo vya certificates na diploma vinatoa wanafunzi ambao baadaye ndo wanapanda hadi vyuo vikuu. Ina maana wanapofika vyuo vikuu wanakuwa wanafahamu kwamba ngono-marks-mwalimu ni kawaida tu!

Naangalia ubora wa waalimu ktk vyuo vya certificates na diploma unasikitisha sana. Kuna baadhi hata mkuu wa chuo mwenyewe hajitambui kabisa! Elimu inaharibika na tunaiacha ijiendeshe.
 
MMmmmh! hiyo nayo ni ngumu. ukitaka kusahihisha mitihani kwa mtindo huo, lazima aina ya maswali iwe kama ya form 4 na 6. Hapa ni vyuo. Maelezo ya thrd yanasikitisha sana maana ukiangalia kiundani vyuo vya certificates na diploma vinatoa wanafunzi ambao baadaye ndo wanapanda hadi vyuo vikuu. Ina maana wanapofika vyuo vikuu wanakuwa wanafahamu kwamba ngono-marks-mwalimu ni kawaida tu!

Naangalia ubora wa waalimu ktk vyuo vya certificates na diploma unasikitisha sana. Kuna baadhi hata mkuu wa chuo mwenyewe hajitambui kabisa! Elimu inaharibika na tunaiacha ijiendeshe.

Mfano mwenge catholic university wanasahihisha mitihani kwa panel . Hakuna biashara ya ngono kule.​

 
Ukitaka hili litokee lazima kuwe na mtaala mmoja kwa vyuo vikuu vyote. Na ikishafikia hapa hizi zitakuwa sekondari. Nakubali kwamba kuna tatizo, ila njia sahihi ni k hii kuimarisha sheria za vyuo husika ili wale wanaozinajisi ziwaume vizuri.
Niliona picha ya 'mwalimu' wa uhasibu Arusha, nilisikitika sana! Hata kwa kuangalia video tu, utafahamu ni mtu asiyestahili kuwa darasani.

Ni mtu anayestahili kuwa ofisi na watu wakimuongoza cha kufanya.
 

Mfano mwenge catholic university wanasahihisha mitihani kwa panel . Hakuna biashara ya ngono kule.​

Wanatoa masomo ya aina gani? University kongwe hawawezi! Idara moja unakuta ina digrii 3, kila mtu au watu wawili wana specialization ya aina moja na wengine hawajui. huwezi kumpa mtu majibu ya mtihani wa specialization isiyokuwa yake ukategemea usahihishaji mzuri. Dawa ya makosa ni adhabu kali ili wahusika waacahane na upuuzi huo. Huwezi kubadili mfumo wa chuo eti tu kwa sababu kuna watu wahuni wanafundisha kishenzi.

Niko hapa Dodoma na nimeanza kufuatilia vyuo viwili vya hapa Dodoma (CBE na IRDP) vilivyotajwa maana wanasifika hata kabla ya thrd hii. Ikibidi nitawapa hata majina ya waalimu walioshindikana.
 
Back
Top Bottom