robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 740
- 1,214
VETA, NACTE na TCU ni vyombo ndani ya wizara hii. Kulikuwa na malalamiko na matukio ya wanafunzi kunyanyaswa kingono. UDOM na Uhasibu Arusha vimekuwa ni mfano wa wazi.
Hata hivyo hatujasikia Wizara ikisema lolote juu ya matukio kama hayo pamoja na jamii kuyasikia tena na tena!
Nimefanya mahojiano na baadhi ya wanafunzi na hata waliomaliza ktk vyuo vya: UDSM, SUA, St. Augustine-mwanza, CBE, IRDP na Uyole-Mbeya na Ukiriguru-Mwanza. Hali siyo nzuri kwa vyuo vya certificates na diplomas. Tishio kubwa ni marks za mitihani! Yaonekana marks ni za bandia kutegemea uhusiano wao na waalimu au uzem,be wa mwalimu.
Nimepata majibu mengi lakini klwa kila chuo kuna jibu lililotia fora.
UDSM: Wanafunzi wanadekeza mtindo huo nadhani kwa utu uzima wao wako kwenye umri wa mahusiano, lakini kuna kozi marks zinagawiwa tu!
SUA: Mahusiano yapo kwa baadhi ya waalimu lakini hata wanafunzi wanayatafuta nje ya chuo
St. Augustine-mwanza: Wanaogopa mambo ya nidhamu tu, lakini mitaani wanakutana sana!
CBE-Dodoma: Hakuna shule serious. Watu wanakuja kuchukuwa vyeti na waalimu wamefanya ni jambo la kawaida kabisa kutoa marks tu! Wanafunzi wanashindana kupata waalimu.
IRDP-Dodoma: Hakuna shule serious na kuna waalimu ambao mahusiano ni sehemu kubwa ya kazi yao kuliko hata kufundisha. Wanafunzi wanapangishiwa na walimu wao mitaani.
Tengeru-Arusha: Hali iko kawaida. Utawala unakomaa sana na matukio ya wanafunzi.
Ukiriguru-Mwanza: Hapo utawala haujali kabisa. Walimu wanajifanyia wanachotaka, ni masela tu. Marafiki wanapata marks nzuri.
Hata hivyo hatujasikia Wizara ikisema lolote juu ya matukio kama hayo pamoja na jamii kuyasikia tena na tena!
Nimefanya mahojiano na baadhi ya wanafunzi na hata waliomaliza ktk vyuo vya: UDSM, SUA, St. Augustine-mwanza, CBE, IRDP na Uyole-Mbeya na Ukiriguru-Mwanza. Hali siyo nzuri kwa vyuo vya certificates na diplomas. Tishio kubwa ni marks za mitihani! Yaonekana marks ni za bandia kutegemea uhusiano wao na waalimu au uzem,be wa mwalimu.
Nimepata majibu mengi lakini klwa kila chuo kuna jibu lililotia fora.
UDSM: Wanafunzi wanadekeza mtindo huo nadhani kwa utu uzima wao wako kwenye umri wa mahusiano, lakini kuna kozi marks zinagawiwa tu!
SUA: Mahusiano yapo kwa baadhi ya waalimu lakini hata wanafunzi wanayatafuta nje ya chuo
St. Augustine-mwanza: Wanaogopa mambo ya nidhamu tu, lakini mitaani wanakutana sana!
CBE-Dodoma: Hakuna shule serious. Watu wanakuja kuchukuwa vyeti na waalimu wamefanya ni jambo la kawaida kabisa kutoa marks tu! Wanafunzi wanashindana kupata waalimu.
IRDP-Dodoma: Hakuna shule serious na kuna waalimu ambao mahusiano ni sehemu kubwa ya kazi yao kuliko hata kufundisha. Wanafunzi wanapangishiwa na walimu wao mitaani.
Tengeru-Arusha: Hali iko kawaida. Utawala unakomaa sana na matukio ya wanafunzi.
Ukiriguru-Mwanza: Hapo utawala haujali kabisa. Walimu wanajifanyia wanachotaka, ni masela tu. Marafiki wanapata marks nzuri.