patrick kalonga
Member
- Jul 26, 2016
- 25
- 8
Hawa nacte wanachowaza wao ni pesa 2............ Yaan pamoja na kutoa pesa zetu lkn bado wnafanya kazi kama hatutoi pesa
Ukiwa ni mtanzania wa hali duni huwezi soma kwa kwel maana sekta ya elimu imejaa watu wanaowaza pesa na si kitu kingine
Ukiwa ni mtanzania wa hali duni huwezi soma kwa kwel maana sekta ya elimu imejaa watu wanaowaza pesa na si kitu kingine