NACTE: Mpaka sasa sijachaguliwa

NACTE: Mpaka sasa sijachaguliwa

James Hungury

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2013
Posts
825
Reaction score
612
Habari zenu wadau wa JamiiForum,
Napenda kuleta mada hii ili iwe masaada kwangu na kwa wengine watakaokuwa na tatizo kama langu,
Mimi ni mmoja ya vijana walio apply kujiunga na chuo kwa mwaka huu kupitia NACTE. Kitu kikubwa cha kushangaza mpaka sasa Nacte hawajatoa jina langu kwenda chuo chochote na naona siku zinazidi kusonga, nimejaribu kuangalia profile yangu bado iko vile vile, haijabadilika. Napata mawazo sana. JE NIENDELEE KUSUBIRI? JE NI HATUA GANI NIFANYE maana mpaka sasa siku zimesonga sana? Msaada tafadhali.
 
Hatua unayotakiwa ufanye fasta ni kufika nacte usisubirie hyo profile kuchange system yao ni majanga wale. Wamemsumbua sana dogo adi sahvi kapata dawa nikuwatimbia tu
 
Habari zenu wadau wa jamii forum,
Napenda kuleta mada hii ili iwe masaada kwangu na kwa wengine watakaokuwa na tatizo kama langu,
Mimi ni mmoja ya vijana walio apply kujiunga na chuo kwa mwaka huu kupitia nacte.Kitu kikubwa cha kusghangaza mpaka sasaNacte hawajatoa jina langu kwenda chuo chochote na naona siku zinazidi kusonga,nimejaribu kuangalia profile yanga bado iko vile vile,haijabadilika.napata mawazo sana.JE NIENDELEE KUSUBILI?JE NI HATUA GANI NIFANYE maana mpaka sasa siku zimesonga sana?Msaada tafadhari.

pole ndugu ebu nenda nacte ukawaone,
hawa jamaa nacte mimi ata kazi yao siioni ni bora ibaki taasisi moja ishughurikie mambo yote,nacte wapo taratibu mno,system lao la ovyo yaan shida tu, wanachelewesha majina ukienda bodi mara majina hajafika.
 
Habari zenu wadau wa jamii forum,
Napenda kuleta mada hii ili iwe masaada kwangu na kwa wengine watakaokuwa na tatizo kama langu,
Mimi ni mmoja ya vijana walio apply kujiunga na chuo kwa mwaka huu kupitia nacte.Kitu kikubwa cha kusghangaza mpaka sasaNacte hawajatoa jina langu kwenda chuo chochote na naona siku zinazidi kusonga,nimejaribu kuangalia profile yanga bado iko vile vile,haijabadilika.napata mawazo sana.JE NIENDELEE KUSUBILI?JE NI HATUA GANI NIFANYE maana mpaka sasa siku zimesonga sana?Msaada tafadhari.

jibu haya nikushauri:
uliomba kozi gani?
uliomba vyuo gani?
unaishi mkoa gani?
form four ulimaliza lini?
 
nacte ni Wase.nge cuma nina zao. very incompetent.
 
Nacte namuomba JPM awatembeleee hamna wanachofamya.
 
Hatimaye nimechaguliwa na nacte...baada yakuchukua ushaur wenu wadau na kuufanyia kazi
 
Back
Top Bottom