NACTE iwe na mitihani kama NECTA

NACTE iwe na mitihani kama NECTA

MAWAZO yako mazuri sana ningekuwa Mimi hawa watu wa nacte wasinge sajiliwa vyuo vikuuu ni ubabaishaji tu na siasa tupu
 
waulizeni wanaosoma diploma na certificate saiv wawaambie kinachoendelea kuhusu hiyo mitihani, watu wameanza semester bila matokeo sasa unategemea yakitoka Alafu umwambie mtu arudie mwaka au ame disquilfie atakuelewa na hapo ashasoma na semester inakaribia kufika mwisho?
 
waulizeni wanaosoma diploma na certificate saiv wawaambie kinachoendelea kuhusu hiyo mitihani, watu wameanza semester bila matokeo sasa unategemea yakitoka Alafu umwambie mtu arudie mwaka au ame disquilfie atakuelewa na hapo ashasoma na semester inakaribia kufika mwisho?
ayo matatizo yako kwa kila chuo na ni kama changamoto tu
had universities ayo mambo yapo kuchelewa kutoka kwa matokeo
 
Diploma ndo inazaraulika kiasi icho jamani.
diploma haizalauriki,tatizo ni ujanja uloingia hv krbn kwenye huu mfumo wa dip, mfn, nliskia pale chuo cha ubungo maji kn wkt walikua wanatoa foundation course kwa form 4 aliyepelewa marks, af baadae asomee uandisi wa maji. diploma inahitajka sn lkn syo hz za ujanja ujanja.
 
Diploma ndo inazaraulika kiasi icho jamani.
diploma haizalauriki,tatizo ni ujanja uloingia hv krbn kwenye huu mfumo wa dip, mfn, nliskia pale chuo cha ubungo maji kn wkt walikua wanatoa foundation course kwa form 4 aliyepelewa marks, af baadae asomee uandisi wa maji. diploma inahitajka sn lkn syo hz za ujanja ujanja.
 
Kwanza nachukua fursa hii kumpongeza waziri wa elimu prof Ndalichako japo najua wachache watanielewa kutokana na mtazamo hasi zilianza kujengwa kwake. Ukweli ni kwamba sisi watanzania kwa sehemu kubwa hatujui hasa tunachokitaka. Tulilia mabadiliko sana lakini hatukujua ni kipi tulitaka, watu walitaka rushwa na ufisadi udhibitiwe bila kujua kuwa kwa kufanya hivyo kuna impact kubwa utaonekana hadi kwa watu ambao walikuwa hawali rushwa wala si mafisadi. Watu walitaka mabadiliko kwenye sekta ya elimu lakini wakiwa na ndoto kuwa hawatayumbishwa hata kidogo. Ukitaka mabadiliko jiandaye kuyapokea maumivu yake maana ni kama kubomoa na kujenga upya nyumba yako.

Nasikitika sana jinsi kauli ya prof Ndalichako ulivyopotoshwa kwa makusudi, mimi nilipoisikia kwenye You tube nilisikia kipande alichokuwa akiongelea foundation courses kwa aliyefeli form six. Akidai kuwa foundation haimpi mtu uhalali wa kusoma chuo kikuu, lakini watu walipotosha kuwa kasema hakuna kwenda chuo kikuu kupitia certificate kisha diploma. Hadi wasomi walikuja juu na kumshambulia prof Ndalichako bila hata kusikia kauli yake. Dk Bana alipoulizwa na mwandishi kuhusu kauli hiyo alisema ''kama kweli kasema hivyo basi kakurupuka na hakushauriwa vizuri''. Hivi ilikuwa inamgarimu dk Bana kitu gani kumwambia mwandishi samahani mimi hiyo habari sijamsikia akisema nipe muda niitafute kisha nitatoa maoni baadaye. Kwani ni lazima kutoa maoni kwa kauli ambayo hujaisikia tena ukijua kuwa baadaye utanukuliwa kwenye hiyo habari?. Kwa maoni yangu wale wote waliomshambulia prof Ndalichako ni WASOMI UCHWA HATA KAMA WANA PhD ngapi. Mtu mwenye Phd huwezi kukosoa kitu ambacho hujakisikia.

KUHUSU NACTE KUWA NA MITIHANI YA TAIFA KAMA NECTA
Baraza la mitihani la taifa (NECTA) kama tunavyojua huwa na mtihani moja kwa shule zote za sekondari nchinzi nzima. Mtihani hii huwa ni kipimo cha marifa na uelewa unaotakiwa mwananfunzi apate ili kukidhi vigezo vya kuendelea na masomo ya advance au chuo kikuu. Ni vyema NACTE ikatoa syllabus kwa vyuo vyote vya kati kwa ajili ya kufundishia courses zao kisha Nacte itunge kna kuratibu mitihani ya cheti na diploma ili anayefaulu mtihani huo wa NACTE aendelee na diploma au degree. Vyuo vingi vya kati vimegeuza elimu hiyo biashara, mtoto anaandikishwa katikati ya muhula maana kinachoangaliwa ni pesa. Hawataki mtoto afeli ili kuvutia wengine waje kusoma kwao. Kinachoangaliwa kwenye usahishaji ni jinsi mwanafunzi alivyomwaga wino na si vitu alivyovijibu. Kuna baadhi ya vyuo hivi ambavyo uongozi wa shule hutoa memo rasmi kwa walimu kutokuwafelisha wanafunzi kwa madai kuwa watahamia vyuo vingine au kufanya wengine wasije kusoma kwao . Maafisa mitihani wa baadhi ya vyuo hivi wametajirika kwasbabu wana uwezo wa kubadili matokeo ya mwanafunzi na hata matokeo ya mwisho na kumfanya mwanafunzi kuwa na GPA isiyo yake. Hapa rushwa ya ngono na pesa hutawala kwa sehemu kubwa. Wakuu wa vyuo hivi hutoa ruksa wanafuzi kuongezewa marks ili kupandisha GPA ili wapate nafasi ya kwenda vyuo vikuu. Haya ninayoyasema nina uhakika nayo. Kama umesoma degree angalia uwezo wa wanafunzi wanaotoka form six na hawa wa equivalent utanielwa. Hawa wanafunzi huwa ni wazito hatari, Wakati fulani nikisoma degree waliwahi kudisco wanafunzi 12 na wote walikuwa kutoka diploma.
Nashauri Mheshiwa ndalichako aamuru NACTE kutunga na kusahihisha mitihani ya certificate na diplama kama NECTA wanavyofanya hii itapunguza uholela kwenye elimu hii ya kati. Waziri ana nia nzuri ya kugeuza elimu yetu kutoka ilipokuwa ikitolewa kiholela bila usimamizi. Meshimiwa waziri nitabaki nawe hata ikibidi kubaki wawili, nakutakia kila la heri na Mungu akubariki.
Kiongozi maneno yako ni sawa but about institute exams from nacte umeenda chaka,1 vyuo ni vingi na fani zinazotolewa ni tofauti, 2 jiulize ni ghalama gani zitatumika adi kuandaa hyo mitihani ya vyuo vyote some times unakuta kwenye coz moja wanafunzi ni watatu au kumi angalia hyo ratio then compare, kuna baadhi ya colleges zinafanya same exams hii nikulingana na ufanano wa fani na mitahala kuwa sawa so kuhusu mitihan hlo suala linahitaji zaidi uchunguzi na ufatiliàji wa hali ya juu
 
watoke nje waone hii elimu ya kati inavyonunuliwa kwa hela na wanafunza kwa kike kuvuliwa bikini zao. Yaani ni balaa tupu hii elimu inahitaji usimamizi wa hali ya juu kama NECTA tu la sivyo wanafunzi waonwatapenya hivi mpaka wawe degree, masters na PhD za hovyo bila kuwa na kitu kichwani.
Kk nakubaliana na ww asilimia 100% kuna haja yakutunga common exam kwa vyuo HV vya kat kuna ujanja mwing sanaaa nishawah fundishaa huko
 
tafuta cv yake usome alafu uje tena
usiwe unaongea tu
nikuulze tena diploma na form6 wakiwa ktk coz moja chuo wakadisco mwaka wa kwanza au wapili
je wakilud mtaan nani atakufa njaa?
kwa hayo maswali niliyojupa sample zake ninazo zaid ya tano as good research just want to be
alaf nan aliyekwambia anayepitia diploma ameferi olevel?
mm nmetoka na dv one na ckuona haja ya kupitia alevel
so usikalilil dogo wakat nchi km german uk china usa wamewejza mno ktk vyuo vya elimu ya kat ktk kuzalisha watendaj na technolojia ya hali ya juu
digrii co mtendaj hata kdgo hasa hz fan zetu za engineering wanajua theory tu but ualisia hawba
nmeptia dit kuanzia diploma to digrii
sasa nikujuze tu au nikuibie sili ktk company nifanyayo kaz wakiitaj watu wa digrii weng wachukuliwao ni wale walioptia dploma coz ndo wanaojua kaz kiualisia
kwan hakuna kampuny inayotaka mfanyakaz butu
weng walioptia 6 wanaongea sana but ukimpa project aifanye yeye km yeye hamna kitu shingai coz wameandaliwa kinadhalia ili waweviongoz ktk taaluma husika
swali linakuja utamuongoza vp mtu ikiiwa kaz uijui kuifanya kwa ualisia? pia ninayosample hii na experience coz nishawai simamia usahili na good performance ikiwaendea wale walioptia diploma hasa dit,must, atc , nit nk
pia nilishuhudia max zikienda kwa mtu wa dit baada ya kupambana na mtu wa coet(udsm)
hv vitu nilisimamia mm na ving boss wang
so usiongee dogo kwanza malza chuo alaf njoo interviwe sio unasoma mikalatas na kukalili ili ufaulu ukajiona mkali tunatka ulichonacho kichwan
over
Acha uongo we upate div 1 uende certificate? Aliyekushaur nan huyo au uliahidiwa kaz
 
Acha uongo we upate div 1 uende certificate? Aliyekushaur nan huyo au uliahidiwa kaz
nilimaliza 2008 na nikachaguliwa na govt coz top three sikuweka shule za advance
hapo utajua mm sikuamliza kpind cha gpa za akina mulugo
 
Back
Top Bottom