NACTE confirmation Pending Inamaanisha nini?

NACTE confirmation Pending Inamaanisha nini?

Shebbydo

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
1,176
Reaction score
1,939
Habari wanajf,
Ni hivi karibuni NACTE wametoa selection kwa wale walioomba awamu ya pili diploma studies. Lakini katika taarifa zinazoonekana kwenye profile za baadhi ya watu, kuna mkanganyiko kidogo. Kuna ambao wameambiwa wamechaguliwa lakini hawaoni wamechaguliwa chuo gani. Kuna waliochaguliwa na kuambiwa ni chuo gani lakini bado wanaambiwa confirmation status😛ending. NACTE
Hawaoni kama selection hizi hazijakamilika bado? Mambo haya inabidi tuyaulize huku kwenye mitandao ya kijamii kwa sababu hakuna njia ya kuwasiliana nao. Namba za simu hazipokelewi, email hazijibiwi
 
Me nlichaguliwa second selection na chuo nikaoneshwa na kozi pia lakin saiz imelud kama zaman selected tu ila chuo hawajaweka SAA sijui tatizo ganii.....
 
Kuna ndugu yangu kachaguliwa chuo cha pharmacy Kilimanjaro Moshi
Lakini wameandika kwenye system pending

Na contact zao hazieleweki hata website yao ya chuo siioni

Kuna mwenye contact zao?
 
Habari wanajf,
Ni hivi karibuni NACTE wametoa selection kwa wale walioomba awamu ya pili diploma studies. Lakini katika taarifa zinazoonekana kwenye profile za baadhi ya watu, kuna mkanganyiko kidogo. Kuna ambao wameambiwa wamechaguliwa lakini hawaoni wamechaguliwa chuo gani. Kuna waliochaguliwa na kuambiwa ni chuo gani lakini bado wanaambiwa confirmation status😛ending. NACTE
Hawaoni kama selection hizi hazijakamilika bado? Mambo haya inabidi tuyaulize huku kwenye mitandao ya kijamii kwa sababu hakuna njia ya kuwasiliana nao. Namba za simu hazipokelewi, email hazijibiwi
Habari wanajf,
Ni hivi karibuni NACTE wametoa selection kwa wale walioomba awamu ya pili diploma studies. Lakini katika taarifa zinazoonekana kwenye profile za baadhi ya watu, kuna mkanganyiko kidogo. Kuna ambao wameambiwa wamechaguliwa lakini hawaoni wamechaguliwa chuo gani. Kuna waliochaguliwa na kuambiwa ni chuo gani lakini bado wanaambiwa confirmation status😛ending. NACTE
Hawaoni kama selection hizi hazijakamilika bado? Mambo haya inabidi tuyaulize huku kwenye mitandao ya kijamii kwa sababu hakuna njia ya kuwasiliana nao. Namba za simu hazipokelewi, email hazijibiwi
Mkuu ukiona hvyo ujue umepata chuo tayar kwa hyo wanasubir chuo ulichopata waconfirm ndo itatokea chuo chenyewe. Usijal kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom