St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,638
- 4,522
Wapi imeandikwa kuwa ice cream na yogurt ni chakula cha kike?
Nakusalimia mwanasheria....
Kanituma nije kukuambia kuwa hataki salamu yako.
Mpaka mumpe Mil. 5.
Anataka kuongezea mtaji wake wa ufugaji Bata..??
Niko sehem na kanyumba kadogo kamependa kuja kula ice cream. Around kuna watu wengi wanaenjoy. Wakati madem na watoto wanakula ice cream, juice, vinywaj bard na baadh vileo, nakereka sana kuona kwenye meza chache kuna mianaume nayo inalamba ice cream kwa vijiti. Wanaume wengi hapa wana bia, maji, whisky, viroba na vinywaji vingine vigumu. Kiukwel nakereka sana na vianaume fulani hapa vinavyolamba ice cream na yoghurt kama madem!
anataka kuongezea mtaji wake wa ufugaji bata..??
Wanaume wa Kiafrika (real African men) hawali askrimu na yogoti.
Hawali vitumbua wala chapati
Hawali mseto wala pilau
si bora hata hiyo ice cream kuna vichefuchefu wengine wanaopenda kula pipi za vijiti unalikuta janaume zima barabarani linafyonza pipi ya kijiti linaingiza huku linatoa! kah
Niko sehem na kanyumba kadogo kamependa kuja kula ice cream. Around kuna watu wengi wanaenjoy. Wakati madem na watoto wanakula ice cream, juice, vinywaj bard na baadh vileo, nakereka sana kuona kwenye meza chache kuna mianaume nayo inalamba ice cream kwa vijiti. Wanaume wengi hapa wana bia, maji, whisky, viroba na vinywaji vingine vigumu. Kiukwel nakereka sana na vianaume fulani hapa vinavyolamba ice cream na yoghurt kama madem!