pockert money
Member
- Mar 12, 2022
- 22
- 65
Ndo umekuja kunitangaza huku....mimi nae niseme yako mywangu.Yani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.yani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea ata sipendi.
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Mnakera kuja kuja jikoni!!! Mnafika kuchukua nini basi mpike nyie.Kwahiyo hata nikija jikoni kukubusu unachukia?
Mambo ya kusimamiana katika kazi mwishowe kuharibu mi nakelekwa tu labda aje mwanamke mwezangu.Bado hujaeleza sababu zako za kutokupenda hicho unacho kilalamikia hapa.
Nakuja jikoni kukuhug from behind na kukubusu shingoni kidogo tu ndiyo unachafukwa na roho namna hii jamani??Mnakera kuja kuja jikoni!!! Mnafika kuchukua nini basi mpike nyie.
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Au katoka burigi huyu?Nichukie tu,wali maharage ya nazi unavyonukiaga vizuri nikiwa sebuleni na ile njaa lazima nije jikoni kuulizia huku nalichapa kofi tako lako.
Achapwe kofi takoni kwa kuchelewesha chakula.Au katoka burigi huyu?